Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana Jijini Dar es Salaam

Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana Jijini Dar es Salaam

Wabunge 19 warudishwe tuendelee na siasa.Mama Mdee amefariki akiwa Chadema. Kama Madeni yaeisha au kupunguzwa warudi kwao.
 
"Nilipotaka kuchukua fomu ya kugombea Uwenyekiti. Freeman Mbowe akaniambia, Sumu haionjwi! Mzee Sumaye
Sumaye yule Mr. Zero, sumu haionjwi maana yake kumpa Uenyekiti wa Chama mtu aliyetoka CCM ingekuwa ni sawa na kuonja sumu na ukweli ulijidhihisha baada ya Sumaye kurudi CCM hiyo ingekuwa ni political suicide.
 
Back
Top Bottom