Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
HakikaSumaye yule Mr. Zero, sumu haionjwi maana yake kumpa Uenyekiti wa Chama mtu aliyetoka CCM ingekuwa ni sawa na kuonja sumu na ukweli ulijidhihisha baada ya Sumaye kurudi CCM hiyo ingekuwa ni political suicide.