kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
nimemwona kamanda , na mungu amrehemu maisha marefu dunianiUna macho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimemwona kamanda , na mungu amrehemu maisha marefu dunianiUna macho?
😆😆😆😆nimemwona kamanda , na mungu amrehemu maisha marefu duniani
Sema kikao cha wahuniKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ikumbukwe kwamba Hiki ndio Chama kinachotoa dira ya Taifa na miongozo mbali mbali inayofuatwa na Wananchi.
Taarifa yao kwa Umma hii hapa
======
View attachment 3064582
Sasa mh lissu akayaseme aliyasema club house ndani ya vikaoKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ikumbukwe kwamba Hiki ndio Chama kinachotoa dira ya Taifa na miongozo mbali mbali inayofuatwa na Wananchi.
Taarifa yao kwa Umma hii hapa
======
View attachment 3064582
Hivi wewe unaishi au umekufa?I am sorry, hapa hamna kitu. Ni kusubiri maafa ndiyo wapate ajenda. Titasikia Nape, kulawitiwa, kutekwa, VX, Loliondo na Bandari. Hamna kitu.
Sasa mh lissu akayaseme aliyasema club house ndani ya vikaoKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ikumbukwe kwamba Hiki ndio Chama kinachotoa dira ya Taifa na miongozo mbali mbali inayofuatwa na Wananchi.
Taarifa yao kwa Umma hii hapa
======
View attachment 3064582
Hivi wewe unaishi au umekufa?I am sorry, hapa hamna kitu. Ni kusubiri maafa ndiyo wapate ajenda. Titasikia Nape, kulawitiwa, kutekwa, VX, Loliondo na Bandari. Hamna kitu.
Kama tu unashindwa kuwa mkweli wa vitu vya kawaida na vidogo tunavyovifahamu na kuvielewa itakuwaje kwenye mambo makubwa ambayo hatuyaelewi na kuyafahamu ?Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ikumbukwe kwamba Hiki ndio Chama kinachotoa dira ya Taifa na miongozo mbali mbali inayofuatwa na Wananchi.
Taarifa yao kwa Umma hii hapa
Ushahidi wa Tuhuma zako ni upi?Nimekuwa nikisita kufungua uzi huu tokea uingie hapa jukwaani kwa sababu maalum. Sasa kikao cha hao wajumbe kinaelekea ukingoni, nikaona nichungulie yanayo endelea kwenye mada yenyewe.
Nimesoma yaliyo wasilisha kama ajenda za kikao hicho.
Nikitazama hali inavyo kwenda kuelekea kwenye chaguzi, na kuunganisha na hali ilivyo ndani ya chama hiki, inanilazimu nihitimishe kwamba waTanzania wasiweke matumaini kwenye hiki chama kinachomilikiwa na mtu binafsi.
Hiki sasa ni kikundi cha uchumi tu ambacho baadae kitaungana na wenzao ndani ya CCM kuwakamua waTanzania kikwelikweli.
Nami natamani ingekuwa hivyo, ili ijulikane wazi nani na nani wapo wapi ndani ya hiki chama.Sasa mh lissu akayaseme aliyasema club house ndani ya vikao
Kama atakosa majibu basi
Fungua MachoKama tu unashindwa kuwa mkweli wa vitu vya kawaida na vidogo tunavyovifahamu na kuvielewa itakuwaje kwenye mambo makubwa ambayo hatuyaelewi na kuyafahamu ?
Hizi za kuita nyeusi ni nyekundu ndio kumepelekea watu kuona kwamba wanasiasa na wafuasi wao wote ni waongo na matapeli...
Mkuu 'Erythro', nimeepuka sana kufuatilia unayoweka humu, kwa kujua kwamba hata wewe huna utulivu sana ndani yako kuhusu chama chako hiki wakati huu.Ushahidi wa Tuhuma zako ni upi?
Kikao cha Kamati kuu kimeweka Wazi ajenda zake, ni kikao cha siku 2 na kinaisha leo, kwanini mnataka mrejesho wakati kikao hakijaisha? na kwanini mnataka kuchomeka ajenda zenu ndani ya kikao hiki?Mkuu 'Erythro', nimeepuka sana kufuatilia unayoweka humu, kwa kujua kwamba hata wewe huna utulivu sana ndani yako kuhusu chama chako hiki wakati huu.
Ushahidi?
Upo mwingi sana.
Mungu Ibariki CHADEMAKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ikumbukwe kwamba Hiki ndio Chama kinachotoa dira ya Taifa na miongozo mbali mbali inayofuatwa na Wananchi.
Taarifa yao kwa Umma hii hapa
======
View attachment 3064582
Mungu Ibariki CHADEMAKamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ikumbukwe kwamba Hiki ndio Chama kinachotoa dira ya Taifa na miongozo mbali mbali inayofuatwa na Wananchi.
Taarifa yao kwa Umma hii hapa
======
View attachment 3064582
Never...!Wabunge 19 warudishwe tuendelee na siasa.Mama Mdee amefariki akiwa Chadema. Kama Madeni yaeisha au kupunguzwa warudi kwao.
AminaMungu Ibariki CHADEMA
Kwa bahati nzuri sana imetokea kwamba ninamwelewa vizuri sana Tundu Lissu sasa hivi kuliko nilivyo wahi kumwelewa mtu mwingine nyakati hizi za karibuni katika maswala ya kisiasa.Kikao cha Kamati kuu kimeweka Wazi ajenda zake, ni kikao cha siku 2 na kinaisha leo, kwanini mnataka mrejesho wakati kikao hakijaisha? na kwanini mnataka kuchomeka ajenda zenu ndani ya kikao hiki?
Lissu wala hana hizo ajenda mnazotaka awe nazo, alichokuwa anafanya ni kujibu alichokuwa anaulizwa na Wanahabari baaaasiii! na hivi sasa yuko ndani ya kikao na ndio anayesoma Ajenda za kikao chao