Naam nimefungua macho na kuona iwapo leo hii unataka kuniaminisha kwamba nyie ndio mnaotoa Dira na Miongozo inayofuatwa na wananchi mnashindwa nini kesho mkichukua nchi mkaniambia hizo Tozo mnazonitoza sio Tozo bali ni Sadaka....Fungua Macho
Basi vuta subra, Kwa idhini ya Katibu Mkuu nitaleta mrejesho wa Kamati kuuKwa bahati nzuri sana imetokea kwamba ninamwelewa vizuri sana Tundu Lissu sasa hivi kuliko nilivyo wahi kumwelewa mtu mwingine nyakati hizi za karibuni katika maswala ya kisiasa.
Sina shaka yoyote juu ya Tundu Lissu kwa sasa; shaka yangu kubwa ni kwa hicho chama chako na kundi linalo kiswaga kuelekea ndani ya CCM.
Mkuu 'Erythro', ukisema '...ajenda zetu...", ni kama huwa hujui nina ajenda gani mimi tokea tukutane. Ajenda yangu siku zote ni moja tu;.... Heshima ya Tanzania na wananchi wake, basi. Sina ajenda nyingine yoyote.
Miongozo tunayoileta haihusu ukandamizaji wa Raia, hiyo ni miongozo ya shetaniNaam nimefungua macho na kuona iwapo leo hii unataka kuniaminisha kwamba nyie ndio mnaotoa Dira na Miongozo inayofuatwa na wananchi mnashindwa nini kesho mkichukua nchi mkaniambia hizo Tozo mnazonitoza sio Tozo bali ni Sadaka....
Uongo ni tabia na mwisho wa siku small lies become bigger lies..., As Jon Snow once Said....
Jon Snow : When enough people make false promises, words stop meaning anything. Then there are no more answers, only better and better lies. Jon Snow
Mwambie Katibu Mkuu, ambaye pia ninampa heshima kubwa; kwamba hakuna kitu cha thamani kuliko "muda". Hii ni 2024 August, na bado ndiyo kunaletwa ajenda ya 'uchaguzi'' kwenye kikao?Basi vuta subra, Kwa idhini ya Katibu Mkuu nitaleta mrejesho wa Kamati kuu
Na wala si hilo tu la "kusamehe", ambalo kwa kweli ni jambo dogo sana kwa sasa. Ajenda muhimu, ambayo kwa maksudi kabisa imemwagiwa maji kimkakati ni chaguzi zinazofuata hivi karibuni na hapo mwakani.Ninachojua Erythrocyte HAWEZI kutupa mrejesho wa Kamati Kuu ya Chadema kwasababu wamewasamehe akina Halima Mdee!
Utapokea lini kadi yako ya Chama Tawala?Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inakutana Jijini D'salaam tarehe 8-9 Agosti, 2024
Ili iweje?Utapokea lini kadi yako ya Chama Tawala?
Ili uimarishwe nguvu za kuijenga nchi katika, umoja, nguvu na Amani.Ili iweje?
Sitaki yanikute ya Makonda ya Likizo bila fahamuIli uimarishwe nguvu za kuijenga nchi katika, umoja, nguvu na Amani.