Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Hilooooo hata haichekeshi. Jichekesheni hapo wewe na hawara ya bibi yako mzaa babu yako.

Nyau wewee
 
Bora mnywa konyagi kuliko Hilo zee lenye betri kwenye moyo, sijui anatumiaga kilevi gani, Kama siyo Gongo!!
Vipi yule aliekimbilia nchi za nje,anaetembea kama Tipa inabinua mchanga? Yeye atakuwa anakunywa nini?
 
@ Benson Mramba.

Mi nadhani baada ya kuijadili CHADEMA usiku na Mchana kama CCM Wanavyohaa kuijadili CHADEMA. Ungetafuta Ilani ya CCM ukaijadili.

CCM imeshinda uchaguzi kwa kishindo, Bado hulali kuijadili CHADEMA .

MIAKA 60 YA UHURU ADUI
UJINGA. anazidi kuwatesa WATANZANIA.
NA KUKUSHAMBULIA MRAMBA.
 
Hapa mroho na lofa ni yupi sasa? Aliyehonga au aliyehongwa na akakubali?
Kila mtu anajua uhuni wa CCM....yaani ni aibu kubwa mno hasa kwa Katibu Mkuu aliyekuwa na heshima kubwa na muumini wa falsafa za Mwalimu ila sasa hivi kageuka mpiga dili za kijinga...too sad!!
 
Tunawashukuru Watanzania wengi ambao wanafuatilia kikao maalum cha ajenda moja ya kujadili, kushauriana na kutafakari juu ya wanachama wetu 19 waliokwenda kuapa kuwa wabunge wa viti maalum- Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
 
-"Sisi kama kamati kuu ya chama kikuu cha upinzani, tumeona na kuridhishwa kuna ukiukwaji mkubwa umekiukwa katika mchakato mzima wa uchaguzi na huu wa viti maalum. Tumejiridhisha ndani ya chama kuhusu mapungufu kadhaa yaliyofanyika-; Mbowe
 
Sikijui kweli. Asante kwa kunifundisha na kukubali hoja yangu.
 
-“Chama chetu hakijateuwa Wabunge wa Viti Maalum lakini tunaona wapo Bungeni wanaapishwa”-Mbowe
 

Kama mligoma kuteua na hamuutambui uchaguzi sasa wabunge mnateua wa nini wakati mmesaidiwa.

Hakuna aliyewaonea, mmepigwa chini kihalali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…