Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Kama Viti maalum NEC wamechakachua Basi tuamini tu na matokeo mengine ambayo kura ilikuwa Ni Siri yalichakachuliwa
 
-"Wabunge hawa 19, mama zangu na dada zangu wameapishwa kiapo batili kwani Katiba inasema waapishwe mbele ya Bunge. Sasa kanuni zimebadilishwa ili kumruhusu Spika kumwapisha popote hata eneo la gereji-; Mbowe
 
Eti NEC waghushi, wajumbe wa kamati kuu waarifiwe, waende Dodoma, wakubali kuapishwa kuwa wabunge!! Inaingia akilini kabisaaa! ????? Kweli nyumbu ni nyumbu tu!
Uzuri nyumbu Ni chakula Cha Simba Magu
 
-"Sisi kama kamati kuu ya chama kikuu cha upinzani, tumeona na kuridhishwa kuna ukiukwaji mkubwa umekiukwa katika mchakato mzima wa uchaguzi na huu wa viti maalum. Tumejiridhisha ndani ya chama kuhusu mapungufu kadhaa yaliyofanyika-; Mbowe
Unaleta upumbavu, sema hatua gani mmewachukulia? Au hayo maneno yanawatosha nyumbu?
 
Baada ya maamuzi haya Chadema imekuwa bora zaidi kuliko awali, imejipambanua kwa matendo juu ya madai yake ya kukiukwa kwa kanuni za msingi za uendeshaji wa chaguzi zetu na ukandamizaji wa haki za binadamu.

Ni katika hili, mimi binafsi na mamilioni ya watanzania tunapoitaka chadema kuitisha harambee ya kuchangia fedha ili kuonesha furaha zetu.

Fedha hizo zitatumika kwa jinsi chama watakavyoona inafaa.

Viva chadema2020. - Imeisha hiyo.

Sasa turudi kwenye kashfa ya fedha za corona. Maana European tax payers wanataka maelezo huko.
 
Baada ya maamuzi haya Chadema imekuwa bora zaidi kuliko awali, imejipambanua kwa matendo juu ya madai yake ya kukiukwa kwa kanuni za msingi za uendeshaji wa chaguzi zetu na ukandamizaji wa haki za binadamu.

Ni katika hili, mimi binafsi na mamilioni ya watanzania tunapoitaka chadema kuitisha harambee ya kuchangia fedha ili kuonesha furaha zetu.

Fedha hizo zitatumika kwa jinsi chama watakavyoona inafaa.

Viva chadema2020. - Imeisha hiyo.

Sasa turudi kwenye kashfa ya fedha za corona. Maana European tax payers wanataka maelezo huko.
Maamuzi gani ya Chadema? SEMA hayo maamuzi.
 
Umeridhika na maamuzi ya hiyo inayojiita kamati kuu wakati ina ubwege? Wakisema tunawaita wanashangiliwa. Wakisema hatuwatambui, wanashangiliwa. Watu wakasubili adhabu na msimamo mkali, haukuja! Sasa tena wana shangilia. KIla kitu kushangilia.
 
Back
Top Bottom