Ndo imeishia hapo?Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka” -;
Mbowe hana uwezo wakuwafukuza bado ana hitaji ruzuku zao.Inamaana hawajafukuzwa????
Kuwafukuza ni ngumu,kwasababu mchezo wote kacheza Mbowe.Inamaana hawajafukuzwa????
Hawana haja na uongozi, haha yao NI ubunge na uanachama. Kama mmewavua uongozi na mmewaacha ni wanachama wanauwezo wa kugombea Tena.Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka” -;
Nasubiri nione haya maajabu😊Kwa hiyo wamevuliwa nyadhifa tu sio uanachama! Basi vyema
Wamevuliwa uongozi.. lakini ni wanachama.. well played. 🙂Jumatatu Wiki ijayo wataenda Kuyapinga Maamuzi haya Mahakamani tena kwa Hoja kabisa ambapo kwakuwa wana Legal Guru kama Halima Mdee haya Maamuzi yao yatatenguliwa. Kesi yao ( Shauri lao ) ikiwa inaendelea ( linaendelea ) bado watatambulika kuwa ni Wabunge ambapo huenda sasa Kesi yao ikawa inarushwarushwa tarehe za mbali ambapo Hukumu yao ya mwisho itatolewa Oktoba 2025. CHADEMA mmejimaliza Wenyewe.
Nyumbu walitegemea Dj atawafukuza kumbe Dj kabadili biti tu ila cd ni ile ileMjinga wewe mwenye bakuli huyo mlevi, nyumbu mmeambiwa na mwenye saccos hawawatambui hao covid 19.
Hayo maamuzi kwa ajili ya nyumbu tu HAKUNA adhabu yoyote.
Halafu mtatapatapa kwa kushangilia mr dj zero kwa kusema tu hawawatambui!
Maamuzi ya kipumbavu, mlisema wafukuzwe kwenye saccos lakini mmeshindwa na nyumbu watakuja kushangilia utopolo.
Dj anajua kumix mziki wake. Ndio imeisha hiyo tusubiri baada ya miaka miwili kila mmoja atarudi kwenye wadhifa wakeWamevuliwa uongozi.. lakini ni wanachama.. well played. 🙂
Hii kali.. Imebidi niwe makini kucheka maana mbavu hazina spare.Mbowe hana uwezo wakuwafukuza bado ana hitaji ruzuku zao.
Alichokifanya Mbowe ni kunawa uso wakati miguu inamatope then akapanda kitandani akalala
Ni sawa na Kusema umetengena na Mkeo kwa Kutokulala nae ila bado unaendelea Kukaa ( Kuishi ) nae Kwao na Kumuhudumia je. nani ni Juha?Wamevuliwa uongozi.. lakini ni wanachama.. well played. 🙂