Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Hii ndo chadema,thanks kamati kuu
 
Vyama vya upinzani nchini vinaboreshwa na ubovu wa serikali.Huu ndo msingi mkuu wa ukuaji wa vyama vya upinzani.Kama serikali ikiamua kusimama barabara katika HAKI nakuhakikishia vyama vya upinzani vitabaki majina tu.

Hapana na hapa ndio tatizo linapoanzia mtaji si madhaifu ya mwengine bali ni jinsi gani ulivyo mzuri zaidi yake .
Ubovu wa Serikali hutoa nafasi ya kukua kwa upinzani wenye mipango.
 
Hapana na hapa ndio tatizo linapoanzia mtaji si madhaifu ya mwengine bali ni jinsi gani ulivyo mzuri zaidi yake .
Ubovu wa Serikali hutoa nafasi ya kukua kwa upinzani wenye mipango.
Kiujumla Upo sahihi ila Mimi nazungumzia kwa hapa nchini kwetu.
 
Unataka wasaliti wapewe masaa mangapi mkuu?.Binafsi hata kuwaita tu naona bado ni uungwana sana.

Hivi unajua Yesu alimjua Yuda kuwa ni msaliti hata wakati anamchagua! Logically tu unadhani uchambuzi wa facts na matukio umefanyika kwa maslahi mapana ya CDM .
Lengo la adhabu ni nini?Kitu gani kilipelekea mpaka BAWACHA au uongozi wake kufanya maamuzi haya?
 
Ni usaliti tu hakuna kingine.Kuendekeza tumbo kubaya sana.
 
Kiujumla Upo sahihi ila Mimi nazungumzia kwa hapa nchini kwetu.

Sasa kwa mtindo huu wamekuwa wakiendelea kupata matokeo yale yale na kujeruhiwa kwenye kila uchaguzi.
CDM ni lazima iwekeze katika watu na kujifunza kuishi nao kwani mtaji mkubwa wa chama chochote cha siasa ni watu .
Leo hii hata mawakala wa kueleweka kwenye baadhi ya majimbo walikuwa hawana!
 
Kuna ids waliokuwa CDM lia lia hapa JF sijaona zikichangia thread,mfano Sky Eclat Erythrocyte (samahani sijapitia pages zote). Taja id nyingine kama umeigundua
 
Politics is a game of intelligency.
Na watu wenye akili kwenye siasa wanatamani sana kuwapata wapinzani wa kariba yako kwenye siasa. Mbowe ana akili na uwezo mkubwa sana kwenye siasa kuliko hata Lissu.
Siasa ukiifanya kwa misingi ya lugha hii unayotumia hapa unapoteza kila kitu.
 
Ni usaliti tu hakuna kingine.Kuendekeza tumbo kubaya sana.

Hapana haya ni majumuisho au kwa lugha nyingine CDM watakuwa wamefanyia kazi matokeo na si mzizi wa tatizo.
Niliwahi kuuliza humu jamvini kwa kusema dhana ya kuwa viongozi wa CDM wananunuliwa haitoshi kuwaaminisha wananchi kuwa wakiwachagua tena hawata nunuliwa.
CDM ilitakiwa ije na majibu zaidi.Funny enough hata mwezi haujaisha sababu ile ile inatumika ina maana kila kiongozi CDM ana price tag?
 
Mkuu,kila siku mimi husema hadharani kuwa CCM wamefanikiwa jambo moja tu huko Tanzania,nalo ni kuwafanya Watanzania wengi kuwa wajinga,wapumbavu na misukule kwa kuwapa elimu ya kipumbavu.
 
Mnafikiri nyie mnavyomsujudia Mh mungu na CHADEMA kuna huo upuuzi ?
Angalia mwehu huyu..kwamba hujajuaga tu kua chadema ni kundi dogo la kihuni?watu wengine sijui hata kwa nini mlikua watu na si viumbe vingine tu au mawe
 
Unadhani dhana ya CCM kuua upinzani wanatekeleza vipi?.
 
Hata hao mawakala wangekuwepo kwa yaliyofanyika nini kingebadilika?.Ndio maana watu wameona wapande ndege ili kubadili uwanja wa mapambano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…