Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum




Chadema imetumia kifungu kipi cha Katiba ya nchi na hata ile ya Chama kugoma kupendekeza majina ya Viti maalumu?
Takwa la kikatiba ndiyo Sheria mama .
Mbowe ni nani mpaka aamue tu kupuuza Takwa la kikatiba kwa hoja uchwara.?
 

It's so painful to speak.
Kilichofanyika hapa ni ushenzXX wa hadharani kutafuta Wabunge wa Viti Maalumu kutoka CHADEMA kwa nguvu....!! MWANAMAMA KATOLEWA GEREZANI USIKU BAADA YA KUFUNGWA MIEZI 4 ILI APEWE UBUNGE VITI MAALUMU?
What a nonsense? Halafu hili jitu linaitwa MAHERA linadai lilipelekewa Orodha na Katibu Mkuu Mnyika??? CHADEMA haijawahi kuwa na watu wapumbavu kama CCM ya kupeleka jina la mtu ALIYEKO JELA ATI ATEULIWE KUWA MBUNGE VITI MAALUMU.
Hii case iko wazi kabisa waliohusika ni MAGUFULI, NDUGAI,MAHERA NA MR. SLOWSLOW USO WA KIMA.
CHADEMA CHUKUENI HATUA ZA KISHERIA KUWASHTAKI WASHENXX HAWA WANAOTUVURUGIA DEMOKRASIA NA AMANI YETU TANZANIA.
 
Tuliza vinyweleo hivyo wewe kahaba WA Chakubanga , Huna akili ya kujadili Mambo sophisticated kama yanayokihusu Chama cha Chadema , sio level zako , we endelea kulamba na makalio ya meko .


Hatutakubali kamwe kuwa na Chama kinachojenga hoja kwa matusi mitandaoni halafu Msajili akiache tuu kwa manufaa ya wahuni.

Chadema itafutiliwa mbali na mambo yatakwenda kama kawaida?

Hakuna tena kubembelezana na wasaliti wa nchi wanaotumwa na mabeberu toka nje!
 
Wewe takataka nimekwambia sina muda mchafu WA kujadiliana taahira mwenye mtindio WA ubongo kama wewe , wewe endelea kuinamishwa huko na kulamba makalio ya meko na makada WA chama cha maharamia .


Takataka ni yule aliyekataliwa na wananchi na kunyimwa kura.

Labda ni kuulize ni Lini Chadema ilifanya uchaguzi wa haki ndani ya chama hicho ?
 
Chadema imetumia kifungu kipi cha Katiba ya nchi na hata ile ya Chama kugoma kupendekeza majina ya Viti maalumu?
Takwa la kikatiba ndiyo Sheria mama .
Mbowe ni nani mpaka aamue tu kupuuza Takwa la kikatiba kwa hoja uchwara.?
CCM,NEC na NDUGAI nao wametumia kifungu kipi cha Katiba kuichagulia CHADEMA wabunge wa Viti maalumu?
Chama hakijapeleka majina ya Watakao teuliwa kuwa Wabunge VM kwasababu KINAPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2020. Iweje wahuni fulani tu waghushi barua na signature za KM/CHADEMA ili tu kukamilisha matamanio yao ya kisiasa?? Try to think big man!!!
 
Upuuzi unao wewe kwani Rais mbona huwaonea wapinzani kwa kuagiza wabambikiwe kesi Ndungai awanunue covid 19 kuleta vurugu chadema ili wapate kuidhoofisha vizuri na kurejesha mfumo wa chama kimoja
Huna akili wewe kichaa, president unamlinganisha na wahuni kama Mbowe, wanywa Konyagi!
 
Pumbaaaaaaf mkubwa wewe.Who is Magufuli by the way? He gonna die like any human being in this world! It's Just a matter of time!!
Kuna siku mtalipia huu uhuni mnaowafanyia Watz wenzenu kisa wako upinzani!
Kwani nani aliekwambia hatakufa? Vipi ukitangulia wewe? Hebu pumzisha hilo fuvu lako(maana najua hauna ubongo), ndo uje kubishana na mimi.
 
Huna akili wewe kichaa, president unamlinganisha na wahuni kama Mbowe, wanywa Konyagi!
Nani wahuni kati ya Mbowe na Magufuli na Timu yake(Ndugai,Mahera)?
Konyagi mbona ni kinywaji tu. HATA ALIYEMWIBUA JIWE TOKA CHATTLE Bwana Ben Mkapa(rip) ALIKUWA MNYWA KONYAGI MZURI tu kuliko hata Mh. Mbowe???===!
 
Nani wahuni kati ya Mbowe na Magufuli na Timu yake(Ndugai,Mahera)?
Konyagi mbona ni kinywaji tu. HATA ALIYEMWIBUA JIWE TOKA CHATTLE Bwana Ben Mkapa(rip) ALIKUWA MNYWA KONYAGI MZURI tu kuliko hata Mh. Mbowe???===!
Ben alikuwa anakunywa Nyagi lakini kichwani ana akili, huyu jamaa yako, mh basi tu.
 
CHADEMA KUMBE HAWAJAKOMAA KAMATI KUU INATAKIWA KUJADILI JAMBO AMBALO LIMECHAMBULIWA NA KAMATI NDOGO NA KUTOLEWA MAPENDEKEZO SIYO KUKURUPUKA KAMA WANAVYOFANYA HIVI SASA
 
Kwani nani aliekwambia hatakufa? Vipi ukitangulia wewe? Hebu pumzisha hilo fuvu lako(maana najua hauna ubongo), ndo uje kubishana na mimi.
Like son like daddy....!!
Hata wewe unaweza kutangulia wakti wowote! Ukijua kuwa kuna kufa huwezi kuwa mshennxx na mhuni kama Jiwe lako! Mungu anasema TAKENI AMANI NA WATU WOTE....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…