Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Labda malaika wabaya wanaomtumikia Shetani.Ni kiongozi wa malaika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda malaika wabaya wanaomtumikia Shetani.Ni kiongozi wa malaika
Kukua kwa CHADEMA hakuhitaji mikakati kihivyooooo.Kinakua automatically kulingana na watu kutoridhishwa na mwenendo wa serikali iliyopo madarakani.Hivyo kukua kwa CHADEMA ni kugusa tu.
Wamefanya makosa,wanaitwa hawaendi kwa dharau!Watu wa hivyo ni kheri kuwafukuza maana wakishajiona wana mapembe kuliko chama ni hatari!
Hamna gerejiiii hapooo.Ila kwenda kuapishwa kwenye garage bila ridhaa ya chama wala uthibitisho wowote toka ndani ya chama ilikuwa Sawa au sio ?
Kunguni wewe
Mumekurupukaaaa. Mumewaonea wamama hao kwakua hakuna mwanaume hapooo.Acha upuuzi wewe nanga , we endelea na KAZI yako ya kulamba makalio ya meko , ya Chadema hayakuhusu
Haituhusu,mpaka tupate ukombozi wa pili.nyerere alikaa 28yrs ccmHivi sheria ya CHADEMA inasemaje kuhusu ukomo wa unyekiti wa chama Taifa?
You nailed it👏👏👏👏👏Ukweli ni kuwa huu mchezo waliocheza ccm October 28,2020-..waliucheza hovyo mno.
Hawakuangalia yajayo na taswira ya nchi kwa nje itakuwaje?!!!...hizo 2 trillion wanazozipigania kwani hawakijua vigezo na masharti yake?...chama kimejaa watu wasio na akili tupu hizo.
Ndio maana wako radhi kuwafanyia hila kina Zitto,Mbowe,Mbatia&co...ili waingie kina MwanaFA na Babu Tale bungeni kujadili mstakabali wa nchi eti?!-like seriously ?
Usalama upi kwani kulikua na vita? Kwahio kikao kingefanyikia wapiWaliitikia wito lakini wakasema hawawezi kufika Makao Makuu kwa sababu za kiusalama.
Hivi unaweza kusema kweli kuwa haya masaa yanatosha kufikia maamuzi ya kufukuza asilimia 90% ya uongozi wa BAWACHA.
TWENDE MBELE NA KURUDI NYUMA,
INAWEZEKANA SAINI NA MIHURI YA CHAMA CHA CDM HAIJAGUSHIWA.
HALIMA NA WENZAKE HUENDA WAMEFANYA HAYA,
1) UWEZEKANO wa kurubuni masekretary wa Katibu MKUU Na akawapa Muhuri wakajigongea kwenye form zao.
2) UWEZEKANO wa form walizopelekea chadema na NEC ambazo wanadai zipo OFISINI Hadi Sasa ,Zikawa ziliscaniwa na kuprintiwa ,Orgino wakachukua wakawaachia ZILE walizoscani wao.
3) UWEZEKANO wa kuscani SAINI ya Mnyika na kuinsert kwenye hiyo form zao pia upo mkubwa.
MAONI YANGU.
1) UKIPEWA OFISI TEMBEA NA FUNGUO ZAKO NA MIHURI YAKO.
2) USIMWAMINI KILA MTU UKAMRUHUSU AINGIE OFISINI KWWKO BIKA WEWE AU UKAMUAMINI MSAIDIZI WAKO KUPITA KIASI.
NOTE:- CHADEMA UCHUNGUZI UANZIE OFISINI KWENU.HIZO FORM MNAZODAI MNAZO NDIZO ZENYEWE??
HIZO MIHURI NA SAINI YA KATIBU MKUU NDIZO ZENYEWE?? MKIKUTA NDIZO ZENYEWE MDILI NA MNAOWAACHIA AU KUWAKASIMISHA OFISINI NA HILI LIWE FUNZO KWENU.
UKUPIGAO NDIO UKUFUNZAO.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji119][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Huyu ni nani?Philemon Aikaeli Mbowe, Kamanda Wa Anga
Ulikuwa unapiga Ramli ?Namuona Mnyika atakavyo jiuzulu...tusubiri tu
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe atazungumza na Umma wa Watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari, leo Novemba 27, 2020, kuanzia saa 3.00 (usiku huu), kuhusu maamuzi ya Kikao cha Kamati Kuu ya Chama
Vyombo vya habari vya Kitaifa na Kimataifa vimealikwa.
Stay Tuned for Updates
======================
Waandishi wanaanza kuwasili ukumbini wanaoingia wanatakiwa kuwa vitambulisho.
Muda wowote kuanzia Viongozi wa Chadema wataingia ukumbini kuongea na waandishi wa habari.
22:08
Bado Viongozi wa Chadema hawajafika ukumbini
Mkutano huo utakuwa live kupitia
Tayari Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe ameshafika ukumbini
Tunawashukuru Watanzania wengi ambao wanafuatilia kikao maalum cha ajenda moja ya kujadili, kushauriana na kutafakari juu ya wanachama wetu 19 waliokwenda kuapa kuwa wabunge wa viti maalum- Freeman Mbowe
"Sisi kama kamati kuu ya chama kikuu cha upinzani, tumeona na kuridhishwa kuna ukiukwaji mkubwa umekiukwa katika mchakato mzima wa uchaguzi na huu wa viti maalum. Tumejiridhisha ndani ya chama kuhusu mapungufu kadhaa yaliyofanyika-; Mbowe
“Chama chetu hakijateuwa Wabunge wa Viti Maalum lakini tunaona wapo Bungeni wanaapishwa”Mbowe
Tangu nchi hii ipate uhuru hatujawai kuona Mbunge/Wabunge wakiapishwa garage, mambo ya kihuni kabisa haya..." Mbowe
“Hiki chama kinaongozwa na principles bila kujali maumivu makubwa tuliyopitia chama chetu kitafuata utaratibu siku zote, kwahiyo kamati kuu imewavua nafasi zao za uongozi viongozi wote waliokua na nafasi katika mabaraza ya chama.”
@freemanmbowetz
“Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka” -MBOWE
"Ili kanuni ambayo Spika ametumia iweze kufanya kazi kuapisha wabunge wetu. Kwanza wangestahili kubadilisha Katiba iruhusu wabunge kuapishwa nje ya utaratibu ambao ni ndani ya Bunge" -
Nusrate Hanje Katibu wa Bavicha amefungwa jela siku 133 kwa makosa yenye dhamana, hawa Watesi wetu wanakwenda kumtoa saa moja usiku akaape.”
”Chama chetu hakijateua Wabunge wa Viti Maalum tunaona tu Watu wetu wanaapishwa na hatuna taarifa, hatujapeleka majina, fomu za Tume zipo ofisini Mama zetu hawa Dada zetu hawajajaza fomu, ila tunaona tu wanaaapishwa”-
"Sisi kama chama cha siasa, hii 'process' yote hatuijui, tunaona tu wabunge wetu wanaapishwa. Chama chetu hakijateua wabunge wa viti maalum" -
"Wabunge hawa 19, mama zangu na dada zangu wameapishwa kiapo batili kwani Katiba inasema waapishwe mbele ya Bunge. Sasa kanuni zimebadilishwa ili kumruhusu Spika kumwapisha popote hata eneo la gereji-
“Tangu Nchi yetu imeanza hatujawahi kuona Wabunge wanaapishwa Gereji, lakini Dada zetu na Mama zetu hawa wameapishwa nje ya Bunge, wakati Katiba inataka waapishwe ndani ya Bunge, kwahiyo wamekula kiapo batili”
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema Kamati Kuu ya Chama hicho iliyoketi leo Nov 27,2020 imeazimia kuwavua uanachama Halima Mdee na wenzake 18 waliopishwa juzi kuwa Wabunge Viti Maalum “wamekinajisi Chama na wamekataa kuja kwenye Kamati Kuu”
”Chama chetu hakijateua Wabunge wa Viti Maalum tunaona tu Watu wetu wanaapishwa na hatuna taarifa, hatujapeleka majina, fomu za Tume zipo ofisini Mama zetu hawa Dada zetu hawajajaza fomu, ila tunaona tu wanaapishwa”
“Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka”
"Kamati Kuu imeazimia kuwavua uanachama wake wote 19 wakiongozwa na Halima Mdee , walioapa kule Dodoma.-Mbowe
Vyama vya upinzani nchini vinaboreshwa na ubovu wa serikali.Huu ndo msingi mkuu wa ukuaji wa vyama vya upinzani.Kama serikali ikiamua kusimama barabara katika HAKI nakuhakikishia vyama vya upinzani vitabaki majina tu.Hakuna kitu kama hiki kwenye siasa ukuaji wa chama chochote unahitaji mpango mkakati CDM kilitakiwa muda sana kuwa kimehama kutoka chama cha harakati kuwa chama kinachoaubiri kuongoza dola.
Huwezi kuvuna sehemu ambayo hujawekeza!
Unataka wasaliti wapewe masaa mangapi mkuu?.Binafsi hata kuwaita tu naona bado ni uungwana sana.Waliitikia wito lakini wakasema hawawezi kufika Makao Makuu kwa sababu za kiusalama.
Hivi unaweza kusema kweli kuwa haya masaa yanatosha kufikia maamuzi ya kufukuza asilimia 90% ya uongozi wa BAWACHA.
Anaye sasa huyo Mr.!?Mama D upo? Unatafuta nini humu saa hizi. Mr hajarudi?