Kamati ya Amani yapiga marufuku Magufuli kuitwa "Mwendazake", Wametumia sheria gani?

Kamati ya Amani yapiga marufuku Magufuli kuitwa "Mwendazake", Wametumia sheria gani?

Kuna ombwe kubwa wa neno la Mungu katika jamii waliopo hao viongozi wa dini, lakini wanaacha kazi ya waliotakikana kufanya wanaenda kusikotakiwa!

Nyakati zinabadilika ndugu askofu, Jana sio Leo na kesho sio leo! Magufuli haupo tena!
 
Kamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita JPM mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Kumbe hata hujui maana ya marehemu, na hayati!!!!
Ila wako sahihi 'mwendazake' ni matusi, toka kuzaliwa sijawahi sikia hiyo lugha ikitumika kwa waliotangulia, kama neno lipo kwenye kamusi basi kuna wa lakini mahala, eidha kiswahili hicho ni cha nchi ya jirani na sio tanzania ama waloweka neno kwenye kamusi walikuwa wamekengeuka
 
Kamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita JPM mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Katika watu wapuuzi, hakuna wapuuzi kama hawa.

Aaah, nisimsahau Ndugai. Hakuna aliye mpuuzi zaidi yake ndani ya nchi hii.
 
K
Kamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita JPM mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Kama tafsiri ya neno "mwendazake" ndio hiyo uliyoitoa, basi utakuwa MJINGA NAMBA MOJA TANZANIA kumuita JPM mwendazake wakati ukijua hana sifa za mwendazake kama ulivyozielezea mwenyewe.
 
Ile kamati ya wachungaji na mashekhe feki??
Malisa_GJ_on_Instagram:_“Kamati_ya_amani_ya_viongozi_wa_dini_nchini_imepiga_marufuku,_John_Pom...jpg
 
Kumbe hata hujui maana ya marehemu, na hayati!!!!
Ila wako sahihi 'mwendazake' ni matusi, toka kuzaliwa sijawahi sikia hiyo lugha ikitumika kwa waliotangulia, kama neno lipo kwenye kamusi basi kuna wa lakini mahala, eidha kiswahili hicho ni cha nchi ya jirani na sio tanzania ama waloweka neno kwenye kamusi walikuwa wamekengeuka
Kenya wanatumia sana neno hilo
 
Kwakuwa bado kuna watu hawaamini amekwenda kabisa basi neno meendazake ni sahihi
mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendeleaSynonyms: marehemu

Maana kila siku tunasikia tumuombee dakika moja, marehemu hata hajaanza kuzoea nyumba yake ya milele spika Ndugai anataka mradi wa bandari ya Bagamoyo ufufuliwe , mwendazake ameacha legacy kubwa inayoendelea bila kufutika, yatupasa kumkumbuka milele n.k

Hii inamaanisha kuwa bado marehemu hajafika kuzimu bado yupo Ktk mchakato wa kuelekea kuzimu hivyo yupo safarini.

Na Askofu Peter Konki amethibitisha hilo kuwa hawamuongelei marehemu kama tayari ameondoka kila siku wanasadifu ndiyo ametoka punde muda huu :

Askofu Peter Konki wa Kamati ya Amani amefanya rejea kuwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.
 
Kamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita JPM mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Wao wanashindana na mungu ??
 
Hawa c ndio watu walipokuwa wanauwawa wao kutwa wapo ikulu na mwendazake wanakula ubwabwa
 
Mwendazake = Revered = deep respect or admiration for (something) = Kumbukwa kwa heshima kubwa, kumbukwa kwa makubwa n.k (kivumishi)

Magufuli : Najua Siku Moja Mtanikumbuka

 
Kamati ya amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.

Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.

Je unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita JPM mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?

Credit Malisa GJ

Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Absolutely Rubbish, kwanza inabidi ajifunze kwa upana neno mwendazake

Then ndo aje na hoja zake za kitoto. Ivi kwa nini hawa watu wanatumia nguvu nyingi kum-protect huyu Dictator.
Kweli kazi Mungu haina makosa. Mungu fundi sana
 
Back
Top Bottom