Kamati ya Amani yapiga marufuku Magufuli kuitwa "Mwendazake", Wametumia sheria gani?

Mi nafikiri tumeiga kimakosa kiswahili cha kenya. Ni vyema tutumie neno marehemu. Hilo ndio neno tunatumiaga kwa kiswahili chetu.
 
Ndio wamelikuza hilo jina kwa Ujinga wao
 
Mi nafikiri tumeiga kimakosa kiswahili cha kenya. Ni vyema tutumie neno marehemu. Hilo ndio neno tunatumiaga kwa kiswahili chetu.

Mwendazake amefanya makubwa kuliko marehemu wengine hivyo Neno mwendazake ni sahihi

Revered, glorified, worshipped, valued, admired, venerated, idolized, despised, venerable, feared, reverenced and treasured.
 
Mimi nafikiri neno sahihi badala ya kutumia neno "MWENDAZAKE"

Nashauri litumike neno "MWANAKWENDAZAKE NA AENDE"
 
Mwendazake ni neno la wakenya wakimaanisha marehemu hata hawa maaskofu wakitaka waende zao itakuwa powa kabisa!
 
Wapuuzi kweli hawa! Dikteta mwendazake ataendelea kuitwa hivyo na there is nothing they can do to stop us.
 
Ungekuwa unajali kuhusu Watanzania mbali mbali waliotendewa maovu ya kutisha na yule dikteta na dhalimu hata wewe ungemuongelea.
Kuna watu humu wasipomuongelea jpm hawapumui.
 
Hawa ni wa kuwapuuza kabisa,hawakukemea maovu waliyofanyiwa raia,walikuwa watu wa kupongeza tu,wamefikia hatua ya uvivu wa kuangalia kamusi
kuna haja wazungu waje watutawale tena, hata haya makanisa tangu yaongizwe na wazawa baada ya wZungu kuondoka, yamekuwa bure kabisa. wao ni kuhubiri na kusihi waumini walete tu sadaka na si vinginevyo..

hao sijui maaskofu, sijui mitume na manabii wakujichagua wenyewe , wanawauzia waumini maji, stika au mafuta ya upako viwalinde wakt wenyewe wanatembea na walinzi
 
Hivi wanapiga marufuku kwa mandate gani waliyonayo? Angalau wangekuwa bado wana moral authority yoyote mbele ya jamii tungewapa benefit.of doubt tukawaheshimu sasa tutafanya kweli! Tukutane mahakamani! Walikaa kimya wakati Yohanna mwendazake akivurumisha taifa kwa ubabe dhuluma na ukatili wa kutisha leo wanatutishia nyau kisa wamekosa bahasha, konki dudubaya mshenzi kabisa huyu!
 
Wasitupangie jinsi ya kumuita...pia wasitusahaulishe kwamba siku hizi tunaishi kwa amani mustarehe hakuna tena ule ushamba wa Mwendazake wa kutekana na kubinywa kende na plaiz
 
Marehemu dikteta Jiwe ni MWENDAZAKE na ataendelea kuitwa MWENDAZAKE labda wamfufue.
 
aaa kumbe ni KONKI!!!????!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…