Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Gwajima anapinga msimamo wa serikali halali,ni UAMUZI wa serikali kuwa covid 19 ipo na watanzania wapate vaccine jab ila kwa HIARI yao,sasa wewe kutumia nyumba za ibada na kutamka kuwa waumini wako hawatachanja vaccine ni kupingana na government's of the day,na kama Mr.Gwajima hapendi chanjo hiyo ni haki yake pia alikua na haki ya kuipeleka serikali mahakamani kupinga hizi chanjo.Nchi ina Rais mmoja na ndiye anayetoa directions nchi iende wapi,hukubaliani nayo nenda mahakamani.msimamo wangu binafsi watanzania wenzangu go out there and get a jab,pls do that mimi tayari nimepata jab.
Kwani serikali wanapata shida gani kumjibu maswali yake?
 
Paso alienda kuhojiwa anaujua mziki wake, so msimpe bichwa huyo gwajizo
Swala sio kumpa kichwa,Gwajima Ana maswali mengi fikirishi na yana mantiki kubwa ambayo majibu yake hawana wanabaki kubwabwaja kutetea matumbo,inshu ya vaccine is very complicated
 
Swala sio kumpa kichwa,Gwajima Ana maswali mengi fikirishi na yana mantiki kubwa ambayo majibu yake hawana wanabaki kubwabwaja kutetea matumbo,inshu ya vaccine is very complicated
Sasa hoja zake azilete ushahidi wa ki science na mabara aliyo chunguza, tafiti hupingwa kwa tafiti za ki science sio kuongea ongea kuhadaa wajinga wenzake
 
Sasa hoja zake azilete ushahidi wa ki science na mabara aliyo chunguza, tafiti hupingwa kwa tafiti za ki science sio kuongea ongea kuhadaa wajinga wenzake
Tusubiri kesho,chanjo is very clear haina data tosha za clinical trials na ndo maana Una sign chochte kikupatacho is upon yourself,kuna vaccine ngap zinapita huhtaj hazijaw na utaratibu na zina clear data,chanjo haipingwi Ila kuna mantiki cariha,let's wait for good
 
..Gwajima amesema ukichanjwa unakuwa na nguvu ya sumaku pale sindani ilipoingia. Hivi hakuna Mtanzania anayeweza kum-challenge?

..Pia amesema ukichanjwa pale sindani ilipoingia panaweza kuwasha balbu. Je, hakuna Mtanzania anayeweza kumjibu kwa ushahidi?

..Vilevile amewatuhumu viongozi kuwa wamehongwa ili wa-promote chanjo, na kwamba wamechanjwa chanjo "feki." Hilo nalo hakuna Mtanzania wa kumjibu?
Kama Pascal Mayalla mwenyewe ana_like tu humu komenti unategemea nani atatoa majibu yenye weledi?.

Kila mtu anasubili kuanzisha mada baada ya kamati kumlarua huyo gwajiboy.
 
Kama Pascal Mayalla mwenyewe ana_like tu humu komenti unategemea nani atatoa majibu yenye weledi?.

Kila mtu anasubili kuanzisha mada baada ya kamati kumlarua huyo gwajiboy.

..Gwajima ni mwana-CCM mwenzao.

..Sidhani kama atachukuliwa hatua zozote kali.
 
Tusubiri kesho,chanjo is very clear haina data tosha za clinical trials na ndo maana Una sign chochte kikupatacho is upon yourself,kuna vaccine ngap zinapita huhtaj hazijaw na utaratibu na zina clear data,chanjo haipingwi Ila kuna mantiki cariha,let's wait for good
Unategemea kuona Gwajima akiishinda Serikali?
 
Swala sio kumpa kichwa,Gwajima Ana maswali mengi fikirishi na yana mantiki kubwa ambayo majibu yake hawana wanabaki kubwabwaja kutetea matumbo,inshu ya vaccine is very complicated
Unaamini kuwa Gwajima ataweza kuthibitisha kuwa Chanjo Ina usumaku au inawasha balbu au kuthibitisha kuwa Rais Samia kala rushwa/Hongo?
 
Wajiandae na sayansi ya hii mRNA DNA gene therapy,which is relatively new science.Kama hawajui Operating System iliyotumika kwenye hiyo chanjo,Nano Technology iliyo tumika,Hydrogel usage kwenye hiyo chanjo,Spike Poteins and how mRNA is being used to produce the Spike Proteins, relationship ya hizo chanjo na 5G,wasijaribu kumhoji,kwa kuwa wataingia aibu.Furthermore wajiandae pia kutoa maelezo ya kina juu ya athari za Spike Proteins mwilini.

Wajiandae pia kujibu kama wanajua how the vaccines will affect human rights,kwa kuwa humans will be GMOs.Wajiandae pia kujibu how the vaccines will affect privacy,because each individual will be connected to a central data base,and who will control the data base.Ningewashauri watakao mhoji wajiandae na science ya "shedding of spike proteins," kama hawajui itakuwa ngumu sana kwao.In short wajiandae kweli kweli.
Kwani Bunge halina wataalam kiasi kwamba Gwajima ndio awe mtaalamu zaidi?
 
Hakuna wa kujibu hoja za Askofu Gwajima. Hata wakikesha na madesa bado ni ngumu kusimama na mtu anayesimamia anachoamini.
In short umekua like kwamba jamaa ni mbishi na akiamua kitu chake haambiliki
 
Back
Top Bottom