Beberu huwa halikwepeki hata mfanyaje
Huu uvaaji was barakoa was bimkubwa kweli korona ipo au ndo vile tena??Kwa mujibu wa DPC Gerson Msigwa Kamati maalumu iliyoundwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kufanya tathmini ya ugonjwa wa corona ( Covid-19) itawasilisha taarifa yake leo alasiri mbele ya Rais Ikulu Jijini Dar es salaam
Matangazo ya moja kwa moja kupitia vyombo mbalimbali vya habari
---
View attachment 1788449
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kufanya tathmini ya Ugonjwa wa Corona -COVID -19 nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Said Aboud
ile KAMATI ILIYOPIMA MAPAPAI na kusema yana COVID 19 leo itajificha wapi?Kwa mujibu wa DPC Gerson Msigwa Kamati maalumu iliyoundwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kufanya tathmini ya ugonjwa wa corona ( Covid-19) itawasilisha taarifa yake leo alasiri mbele ya Rais Ikulu Jijini Dar es salaam
Matangazo ya moja kwa moja kupitia vyombo mbalimbali vya habari
---
View attachment 1788449
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kufanya tathmini ya Ugonjwa wa Corona -COVID -19 nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Said Aboud
Kweli.. na litawapanda sana WaTz
Nyani Ngabu vipi kwa mtazamo wako hii kitu unaionaje .Kuna faida au ni hasaraNdo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?
Halafu sidhani kama Samia atayasoma [emoji1787].
Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.
Yeye ni mitandao tu [emoji1787][emoji1787].
Corona ipo na chanjo wanaotaka watapata..hutaki hama nchi.Kwa lipi...?
Magu alisema fanyeni kazi huku mkijikinga na kumuomba MUNGU,
-Magu alisema CORONA ipo ila tutaishinda.
-Magu alikataa kinga( chanjo ) ambayo hata wazungu waliipinga baadae baada kuona inaleta madhara baada ya kukinga watu.
- Magu alikataa barakoa ambazo kutoka nje alisisitiza tutengeneze barakoa wenyewe, baadae zilishikwa nchi za wenzetu zikiwa na vimelea vya virusi vya korona.
Mzungumzie Magu katika mambo mengine ila katika kupambana na CORONA utakuwa huna akili nzuri.
Ni wajinga tu walikuwa wanamsikiliza. Kama siyo kufariki huyu mama waziri wa afya ungekuta apeshapata kichaa.Hapo sawa sio tunadanganywa tupige nyungu
Yaani tumetoka mbali jsman
Simu yenyewe na teknolojia unavyotumia vya kwao hujapandwa tu?
Kutiana hofu gani? Corona ndiyo ugonjwa wa kwanza kuwepo Tanzania? Magufuli aliwalisha ujinga na ninyi mkaumeza wote.Kifuatacho ni kutiana hofu na kuwekeana lockdown...
Sasa Mama amedhihirisha rangi yake ..
Cha msingi sijaona napendekezo ya lockdown, na hyo ndiyo habar njema.Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania;
1) Itangaze uwepo wa Corona
2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona
3) Ikubali maadhimio ya Kikanda na Kimataifa
4) Ipanue maktaba za kupima
5) Itoe takwimu sahihi za Corona
6) Tiba asili zitathiminiwe Kisayansi
View attachment 1788475
Ndo mtapandwa mpaka vutu liote sugu
Usimhusishe Mungu kwa mawazo yako ya kipumbavuEnzi ya dikteta wangetoa hiyo riport? bora MUNGU alitusaidia
Mwaka wa pili huu tangu wimbo wa corona, Watu tunaishi vizuri tu,hapo Kenya alipokwenda kujifunza walijifungia mpaka wakachoka mpaka sasa wameamua kuishi nao na kuchapa kazi, sasahivi mashule yamefunguliwa,eti Sisi huku ndio tunatangaza corona,ni njinga tu anayeweza kuamini hii ripoti,kisa eti awafuraishe wazungu wampe misaadaKwa hiyo mwenzako akilala njaa na wewe utalala njaa?