Nimepata Taarifa NIMEFUNGIWA kufanya KAMPENI siku saba kuanzia tarehe 12-18/10/2020. Hukumu ilikuwa imesha andikwa kabla ya KIKAO cha Maadili. TUTAWEKA WAZI USHAHIDI tulio uwasilisha. NJIA moja ikifungwa....tunafungua nyingine.- H Mdee.
-----
Kamati ya Maadili NEC imemfungia kuendesha shughuli za kampeni Mgombea Ubunge wa jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee.
Kwa mujibu wa taarifa aliyotoa kupitia ukurasa wake wa Twitter, adhabu hiyo inaanza kutekelezwa kuanzia tarehe 12 hadi 18 ya mwezi huu wa Oktoba, 2020.
-----
Kamati ya Maadili NEC imemfungia kuendesha shughuli za kampeni Mgombea Ubunge wa jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee.
Kwa mujibu wa taarifa aliyotoa kupitia ukurasa wake wa Twitter, adhabu hiyo inaanza kutekelezwa kuanzia tarehe 12 hadi 18 ya mwezi huu wa Oktoba, 2020.