Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kweli ni mfuasi wa ufufuo na uzima. Akili zako na za gwajima zime tally. Hapati gwajimaHalima Kawe hatukutaki. Wewe subiri uingie bungeni kwa tiketi ya viti maalum.
Rais nitampigia Lissu,ubunge nitampa kura yangu Gwajiboy. Halafu nani akufungie kampein jamani ?Acha kuleta mizengwe.
Hoja ya msingi ni je, kwani wewe zuzu la CCM hutaji ni Kanuni zipi za Uchaguzi hazikuheshimiwa?Hoja ya msingi ni je, kwanini hukuheshimu kanuni za uchaguzi?
Hii haita msaidia kushinda KAWE ya Gwajima bibi wewe kitulize tu huu sio muda wako tena ufungiwe usifungiwe haikusaidii
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Watz wapumbavu na waoga sana, wengi hawapo tayari kufanya mabadilikoDuuh!! Naona NEC wanapima upepo kwanza. Waone ikitokea wakalazimisha ushindi watu watachukua hatua gani?
Big up nec
Mkuu kama umechukia kajinyonge tu.Haya mambo yanakera sana, lakini pia ndio yanayofanya chama fulani na wagombea wake kukataliwa/kuchukiwa na wananchi.
Anyway,kiashiria cha haki kupatikana, huwa ni kuongezeka kwa dhuluma na uonevu.
Of course kama kakosea inabidi awajibishwe,na utaratibu ufuatwe.kama ameonewa atapata kura nyingi zaidi ya Gwajima.Trust me watanzania sasa wanasimamaga na wanyongeKama amekutwa na hatia ataadhibiwa tuu, kujiwahisha kusema hakutishi athourity kumpa adhabu ova!
Nimepata Taarifa NIMEFUNGIWA kufanya KAMPENI siku saba kuanzia tarehe 12-18/10/2020. Hukumu ilikuwa imesha andikwa kabla ya KIKAO cha Maadili. TUTAWEKA WAZI USHAHIDI tulio uwasilisha. NJIA moja ikifungwa....tunafungua nyingine.- H Mdee.
Chadema ndio nini?. Hili genge la wachumia tumbo nani analiulizia hata kwa mfano. Mtalalamika wee mpaka tarehe 28,mkija kupata akili 2040.Huu upuuzi ndio unaiangamiza kabisa CCM! Kila mwenye akili timamu anafahamu wazi kuwa CHADEMA wanaonewa na CCM inapendelewa...chuki inakuwa kubwa sana kwa CCM ndio maana sasa hivi hawafanyi tena siasa inategemea hujuma tu za vyombo vya Dola
mkuu mwaka huu lazima tuwekewe vikwanzo vya kiuchumiHii nchi raha sana. CCM wanatukana mpaka wanaita watu malaya. Wagombea wao wanatishia wananchi kuwa hawataleta maendeleo. Mgombea wao anachanganya siasa na serikali. Wapinzani wakipeleka malalamiko hata hoja hazisikilizwi ila Wa Upinzani hasa CHADEMA akituhumiwa tu kikao kinakaa hata saa sita usiku. Ila tutafika tu. "One day Yes"