Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

😂😂😂😂 huyo mdada itabidi akatae pia kula WALI maana wali unatoka kwenye mpunga ambao huwa ni Mmea wa kijani. Pia akatae kula UGALI wa Mahindi pia, mahindi mmea wake ni wa Kijani pia...
Huo muda wa ku-type jarida refu la kipumbavu lote hili umeutoa wapi?
 
hana sera matusi tu
Huyu mwamba ndiyo anayaishi matusi wengine wanaigiza tu

Screenshot_20200927-131729.jpg
 
😂😂😂😂 huyo mdada itabidi akatae pia kula WALI maana wali unatoka kwenye mpunga ambao huwa ni Mmea wa kijani. Pia akatae kula UGALI wa Mahindi pia, mahindi mmea wake ni wa Kijani pia...
Madhara ya kuvaa kijani na njano kwa wakati mmoja,hapa walikusanyika kwenye mkutano, nyuki kuona njano na kijani zimekusanyika wakajua ni shamba LA alizeti wakavamia.
 
Mtatubu tu mwaka huu sio mwaka matusi mliozoea kutamka eti mnajiita watoto wa k'huni
 
Kamati ya maadili siyo NEC, ile inaundwa na wawakilishi kutoka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi!!.
Mkuu huwa unamsikiliza Charles Mahera vizurii?? Kamati ya maadili ni danganya toto tu.
 
Kamanda naomba utwambie nini kimetokea? Umefanya nini kamanda? Wamekusingizia nini?
 
Halima Kawe hatukutaki. Wewe subiri uingie bungeni kwa tiketi ya viti maalum.

Rais nitampigia Lissu,ubunge nitampa kura yangu Gwajiboy. Halafu nani akufungie kampein jamani ?Acha kuleta mizengwe.
Mdee hata asipopiga kampeni atashinda kwa kishindo Kawe hawanunuliki kwa chumvi.
 
Sasa Kama mnaenda kinyume na maadili ambayo mmekubaliana wenyewe na mmesaini wenye kuyatekeleza mnataka muachwe tu muingize nchi kwenye vurugu?

Watanzania sisi hatujazoea fujo fanyeni kampeni kwa kunadi sera za chama sio kuendekeza vurugu halafu mkichukuliwa hatua mnakimbilia mitandaoni kulalamika by the way sisi huku hatuna Cha kuwasaidia zaidi ya kuwashauri kuwa mfanye kampeni z kistaarabu uchaguzi uishe kwa amani tuendelee na maisha yetu Kama kawaida.
 
Sio Kawe tu nchi nzima CCM ni laana, Leo kuna mdada kakataa kununua ice cream kisa ni ya kijani. Na kasema kabisa mimi sitaki hii rangi sio CCM Mimi.
Uyo dada hana akili ni taahira kama alivyo taahira mgombea wenu wa Urais.
 
Sasa naona Mchungaji na Askofu anaogopa kukabiliana na hoja za mwenzake na badala yake anaamua kutumia njia za mkato na haramu kupata vitu

Mchungaji Gwajima, hiyo siyo sahihi na siyo haki. Mungu alikuonya tangu mwanzo kupitia sisi wenyewe watu, kuwa you are taking a wrong path na unakwenda kuharibu ushuhuda mzuri wa Yesu Kristo kupitia wewe.

Ukapuuza na sasa kwa miguu yako, mikono yako, mwili wako na akili zako unashirikiana na watu waovu wanaodhulumu haki na uhai wa watu..!

Unadhani Mungu ataruhusu hili?
 
Sasa Kama mnaenda kinyume na maadili ambayo mmekubaliana wenyewe na mmesaini wenye kuyatekeleza mnataka muachwe tu muingize nchi kwenye vurugu?

Watanzania sisi hatujazoea fujo fanyeni kampeni kwa kunadi sera za chama sio kuendekeza vurugu halafu mkichukuliwa hatua mnakimbilia mitandaoni kulalamika by the way sisi huku hatuna Cha kuwasaidia zaidi ya kuwashauri kuwa mfanye kampeni z kistaarabu uchaguzi uishe kwa amani tuendelee na maisha yetu Kama kawaida.
Wapumbav kweli hawa NEC,hawakusikia Matiko akiitwa malaya kwenye majukwaa ya kampeni za CCM?shwain,mwendelezo ule ule wa kukibeba chama tawala!
 
Kuna watu hamlali, ila naomba Mimi niwe tofauti kidogo, kila nikimtazama Halima huwa namuona kuwa Wife material wa aina yangu, yaani namkubali mpaka najishangaa! Rafiki yangu anasema eti ni kheri niote ndoto za kujenga angani ila si ya kumpata Halima!
Wana Kawe msiniangushe, hata kumuona tu bungeni nafsi yangu ataridhika! Samahani kwa niliyemkwaza, ni moyo tu jamani!
Halima.........?
Wife material........?
Mkuu heri ukaoe gunzi!
1602476041482.jpeg
 
Back
Top Bottom