Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah anata ice creamSio Kawe tu nchi nzima CCM ni laana, Leo kuna mdada kakataa kununua ice cream kisa ni ya kijani. Na kasema kabisa mimi sitaki hii rangi sio CCM Mimi.
Sisiemu mnapoteza muda tuKamati ya Maadili NEC imemfungia kuendesha shughuli za kampeni Mgombea Ubunge wa jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee.
Kwa mujibu wa taarifa aliyotoa kupitia ukurasa wake wa Twitter, adhabu hiyo inaanza kutekelezwa kuanzia tarehe 12 hadi 18 ya mwezi huu wa Oktoba, 2020.
Matusi ni kama yale ya Gwajima kwenye ile clip. Haya mengine matamshi tu.
Mtashindaje kwa hadithi hadithi uchwara hizi za kutunga..Kuna mtu asiyejua kutunga hadithiSio Kawe tu nchi nzima CCM ni laana, Leo kuna mdada kakataa kununua ice cream kisa ni ya kijani. Na kasema kabisa mimi sitaki hii rangi sio CCM Mimi.
Wewe hauko jimbo la Kawe sisi tulio Kawe tunasubiri tumalizane na Mdee tarehe 28/10/2020 kwa hamu sana! Tumechoka maneno ya kihuni ya huyu dada!!Hizi ni sheria za hovyo zisizo na madhara. Mgombea kama Mdee hizo siku 7 haziwezi kumdhuru kabisa.
Jimbo la Kawe nilitegemea kampeni zilizochangamka ila naona Gwajiboy amepwaya sana hadi amefikia kubebwa.
😀😀😀😀Madhara ya kuvaa kijani na njano kwa wakati mmoja,hapa walikusanyika kwenye mkutano, nyuki kuona njano na kijani zimekusanyika wakajua ni shamba LA alizeti wakavamia.
View attachment 1597449
punguza jazba mkuu!! 😀😀😀 Tarehe 28 Octoba ikifika nenda kapige kura yako! Chagua yeyote unayemtaka wewe! Hicho ndo cha muhimu zaidi.Huo muda wa ku-type jarida refu la kipumbavu lote hili umeutoa wapi?
nimekoma aisee! 😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾 Mkuu, mie siyo mjanja, na I had never been a mjanja, never!Unajiona mjanja, hizi ni point za washamba wa nyarugusu uko