Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

Labda jina lako nimelifananisha na Muhaya mmoja hivi alishindwa kura za maoni huko kagera.
Unonevu upo mkubwa, aliyeanza matusi na lugha za kashfa kwa mgombea mwenzake ni Gwajiboy, alimuita bi kidude, betina na kamzushia kuiba pesa za mfuko wa jimbo NA MENGINE PERSONAL. Sasa unaposema hakuna uonevu, sijui unamaanisha nini? aliye anza ni Gwajiboy kachukuliwa hatua yoyote au ukiwa ccm unakuwa na immunity?
Nadhani wewe ni mwanaKawe mwenzangu
 
Asante Mungu, huyu safari hii bunge atalisikilizia redioni. Wafuasi wake mmekuwa wajinga kwa kuendekeza matusi, kizazi chenu hiki hakika mnakwisha kabisa na mtapotea na system itatengeneza upinzani mpya wenye kujenga hoja na siyo nyie misukule yenye vinywa visivyokuwa na staha kwa wakubwa.
 
Asante Mungu, huyu kibwengo safari hii bunge atalisikilizia redioni. Akome kuleta upunguani badala ya sera. Wafuasi wake mmekuwa wajinga kwa kuendekeza matusi, kizazi chenu hiki hakika mnakwisha kabisa na mtapotea na system itatengeneza upinzani mpya wenye kujenga hoja na siyo nyie misukule yenye vinywa visivyokuwa na staha kwa wakubwa.
Kweli kabisa matusi ni mabaya sana ila sijawahi kusikia mtu anatukana hadharani tena watu waliomzidi umri na wadhifa kama Gwajima. Kiumbe anajua kutukana yule wee acha tu.
 
NEC kuna kitu wanakitafuta. Wanamfurahisha Bw Yule kwa lile tamko lake la kumkataa mtoto wa dada eti Gwaji Boy ndiyo anaweza. Sasa maji ya shingo NEC wanajaribu kila liwezekanalo.

Halima ni Mtoto wa Mijini Mtoto wa Kawe wala asiwe na hofu Jimbo ni lake.
Kamati ya maadili siyo NEC, ile inaundwa na wawakilishi kutoka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi!
 
NEC inawafungia wagombea wa Chadema lakini Mungu naye atawafungia wagombea wa CCM kwa namna yake anayoitaka.
Subirini mtasikia muziki mnene!
 
Kaaawe! Of all the people you are going to elect him to represent you in the parliament?
 
Halima hata yeye anafahamu kwamba amechokwa,anatimiza tu wajibu kwa sasa
 
Kawe ni ya Gwajima kuanzia tarehe 29/10
Ni vigumu kuamini lkn huo ndiyo uhalisia. Finally, hii tabia ya kufungiwa halafu mkafanya kampeni kwa kununua machungwa sokoni iishe.

Hukumu hiyo inafaa kuongezewa masharti ili cku saba zote uwe ndani - kula kulala

Mechi ikishaanza hakuna masharti ya kuongezwa ulingoni ma mburula nyie!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo mdada itabidi akatae pia kula WALI maana wali unatoka kwenye mpunga ambao huwa ni Mmea wa kijani.
Pia akatae kula UGALI wa Mahindi pia, mahindi mmea wake ni wa Kijani pia...
Unajiona mjanja, hizi ni point za washamba wa nyarugusu uko
 
Unachosema sikijui - sijawahi wala sina nia ya kuingia ktk vinyanganyiro "umenifananisha".

Kifungo cha Mdee hakina uonevu na asilaumu tume
Uyu msakila wa sumbawanga,mzalendo wa kweli,alikua ndugu yako???kaacha wajinga na wapuuzi wengi sana
 
Kuna watu hamlali, ila naomba Mimi niwe tofauti kidogo, kila nikimtazama Halima huwa namuona kuwa Wife material wa aina yangu, yaani namkubali mpaka najishangaa!

Rafiki yangu anasema eti ni kheri niote ndoto za kujenga angani ila si ya kumpata Halima! Wana Kawe msiniangushe, hata kumuona tu bungeni nafsi yangu ataridhika! Samahani kwa niliyemkwaza, ni moyo tu jamani!
 
Hizi ni sheria za hovyo zisizo na madhara. Mgombea kama Mdee hizo siku 7 haziwezi kumdhuru kabisa.

Jimbo la Kawe nilitegemea kampeni zilizochangamka ila naona Gwajiboy amepwaya sana hadi amefikia kubebwa.
Watanzania wengi mna ujinga mkubwa tu vichwani, hawa kina Halima na kina Lema sijui Tundu,wote hawa ni kundi la kihuni tu, maji yanapowafika shingoni wanatafuta kutengeneza story kwa makusudi, cha ajabu kuna watu kama nyie msiojiongeza jua hao watu ni wahuni na wembamba sana katika kuwatumikia wananchi, wapo wakipiga kelele ili kuona watatumia ujinga wa kina nani na wangapi kuwapa kura ili maisha yao yaende na familia zao, bahati mbaya sana kwao wana kakundi ka wananchi wajinga kama wewe %20 tu ya wananchi wote na %10 tu ya wapiga kura.

Ondoeni upofu wa kifikra mpate kuona, ama kaeni bila ushabiki wa vyama ovyo ovyo kama sisi hapa na muwe busy kutafutia familia zenu. Kama weww ni mmoja wa yale makundi ya ufisadi na vyeti feki basi usiweke hasira na serikali isipokua jitahidi kufuata uhalisia
 
Uyu msakila wa sumbawanga,mzalendo wa kweli,alikua ndugu yako???kaacha wajinga na wapuuzi wengi sana
Hata simjui, ujinga kwa muktadha wa mtu awaye tofauti na mawazo yako sawa lkn mwanafalsafa aitwaye Nkwameh Nkurumah rais wa taifa la Ghana aliwahi kusema kwamba"one will compromise on programs not on principal".

Sasa issue ya Mdee iko wazi kuwa wakati mwingine hutumia nguvu nyingi - jmn wakati tukiendelea na kampeni tufahamu kwamba vyama vina ukomo lkn taifa litaendelea kuwepo.
 
Back
Top Bottom