Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili NEC yamfungia Halima Mdee kuendesha kampeni kwa siku 7

Utashangaa, kuna diwani mmoja walimwekea figisu kwenye rufaa yake. Kumbe hiyo ilikuwa Ni Baraka kwake. Imempa jina Na watu ndio wanazidi kumpenda. Ni sawa Na kumpiga teke chura. Bora waachane Na mbinu hii haiwasaidii
 
Wako kwenye kupima maji. Hata Maalim wanamlia mingo zenji.

Waache wacheke ila atakaye cheka mwisho.
 
Huu upuuzi ndio unaiangamiza kabisa CCM! Kila mwenye akili timamu anafahamu wazi kuwa CHADEMA wanaonewa na CCM inapendelewa...chuki inakuwa kubwa sana kwa CCM ndio maana sasa hivi hawafanyi tena siasa inategemea hujuma tu za vyombo vya Dola
 
Haya mambo yanakera sana, lakini pia ndio yanayofanya chama fulani na wagombea wake kukataliwa/kuchukiwa na wananchi.

Anyway,kiashiria cha haki kupatikana, huwa ni kuongezeka kwa dhuluma na uonevu.
Kamanda akiongea kinyonge
 
Nimepata Taarifa NIMEFUNGIWA kufanya KAMPENI siku saba kuanzia tarehe 12-18/10/2020. Hukumu ilikuwa imesha andikwa kabla ya KIKAO cha Maadili. TUTAWEKA WAZI USHAHIDI tulio uwasilisha. NJIA moja ikifungwa....tunafungua nyingine.- H Mdee.


Mbeleko za mbogamboga kazini.
 
Hizi funga funga sihamin Kama zina umuhimu nec achana na Mambo haya uchaguzi ni Mara moja kwa kipindi Cha miaka mitano ,hacha watu wajimwage
 
Haya mambo yanakera sana, lakini pia ndio yanayofanya chama fulani na wagombea wake kukataliwa/kuchukiwa na wananchi.

Anyway,kiashiria cha haki kupatikana, huwa ni kuongezeka kwa dhuluma na uonevu.
Infact hapa wanampigia kampeni Halima kama hawajui. Kuna sympathy ya watu inakuja kuwa anaonewa....
 
Duuh!! Naona NEC wanapima upepo kwanza. Waone ikitokea wakalazimisha ushindi watu watachukua hatua gani?

Big up nec
Msiwe wajinga wa akili,vyama pinzani hasa wahuni wanachofanya ni kivunja sheria ili wakitiwa kashikashi yoyote wao waigeuze kua mtaji kwa wajinga
 
Hivyo vyama washirika wa CCM upuuzi mtupu, walishamuunga mkono Magufuli halafu unawapelekea kesi ya mgombea wa Chadema watoe maamuzi.. bulls.it!.

Chadema nao ni wajumbe.
 
Kamanda twambie umekutwa na hatua kwa kosa gani? Au wamekusingizia umefanya nini ambacho hujafanya?
 
CCM ni dhahiri sasa wanaweweseka!! Ni kiwewe !!
 
Back
Top Bottom