Hajalia katoa taarifa hata hivyo hii mbinu yao imefeli sana haitawasaidia, imefeli kwa Bonny imefeli pia kwa Lissu.Kamati ya maadili siyo tume inawajumbe 18 wa vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi kikiwemo Chadema aache kulia lia mitandaoni
Vyama au michepuko ya CCMKamati ya maadili siyo tume inawajumbe 18 wa vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi kikiwemo CHADEMA aache kulia lia mitandaoni
Hivyo vyama washirika wa CCM upuuzi mtupu, walishamuunga mkono Magufuli halafu unawapelekea kesi ya mgombea wa Chadema watoe maamuzi.. bulls.it!.Kamati ya maadili siyo tume inawajumbe 18 wa vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi kikiwemo CHADEMA aache kulia lia mitandaoni
Gwajiboy asahau huku Kawe. Labda akajaribu pale LumumbaHii haita msaidia kushinda KAWE ya Gwajima bibi wewe kitulize tu huu sio muda wako tena ufungiwe usifungiwe haikusaidii
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app