Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Mchina atatufilisi kabisa na mikataba yake ya kitapeli.
Umeshau masharti ya mkataba wa bandari ya Bagamoyo?

Tujiandae tu kuwa kama Zimbawe ya Mugabe.

Mambo wamebadilika mkuu, enzi za mikataba ya bagamoyo sio hizi, Zimbabwe sio Tanzania ya sasa mkuu
 
Yani yuko radhi watu zaidi ya Milioni 50 wapate ugumu zaidi wa maisha ili atimize tamaa yake ya madaraka ya nchi na kushinda vita yake binafsi dhidi ya utawala. Halafu eti aje tena 2025 apewe Uraisi. Ni kama ana uchizi flani hivi.
Nyie endeleeni kujibebisha kwa akina Amsterdam,

Utashuhudia tz hii ikiendelea kustawi huku Lisu na huyo beberu wenu mkiendelea kubweka tu.
 
Tanzania imeamua na itasonga mbele chuki za watu wachache haziwezi kuzuia dira yetu ya MAENDELEO.
 
Hizi ni polojo tu hakuna jipya, mtakuja kujua kuwa hamjui pale ambapo JPM atakuwa amehudhuria kuapishwa kwa Rais wa awamu ya sita toka CCM
 
Naomba niandike kikubwa wa kuelewa na aelewe

" UKIWA MTOTO MDOGO NYUMBANI UNAWEZA UKAFICHIWA VIATU VYAKO ILIMRADI TU NA WEWE USIENDE MJINI KULA KUKU NA WAKUBWA "

Watahangaika sana kukufichia viatu kila namna watajaribu
 
Wanaishi kwa kukariri.

Hadi 2025 wataenda wakiwa wajinga hivi hivi
Kila kitu kinakua dhahiri sasa, bila kificho wapinzani wa Magufuli na CCM yake ni hao EU.... na kina Tundu na Zitto ni wajumbe tuu
 
Mmekula pesa za watu wakianza kuwadai mnasema wanataka kuleta ushoga Tanzania, hayo majibu yenu ya kitoto safari hii yamefika mwisho.

Wale wazungu wanajua kila kinachoendelea Tanzania, msijidanganye.
 
Propaganda mfu zimeshabuma,kuwaambia watu timamu sijui ushoga kama sababu ni dharau ya hali ya juu!
We both know kwanin nchi imefika hapa tulipo!Hizi danadana ni kazi bure,we know why!
Hata tulipokuwa tunawaambia Amsterdam atamharibia Lissu na kupata chini ya 20% mlikuwa mnataukana.

Sasa suburini ujionee kama hao EU wataigeuza Tanzania kuwa Zimbabwe kama mnavyoaminishwa ujinga
 
Hili tamko uchwara la mbunge kutoka ujerumani haliwezi kuisumbua kichwa Tanzania kwani ni muendelezo wa lile genge la wapiga debe wa ushoga duniani kutaka kuimpose ushoga nchi nyingine.
Mwaka 2018 walitoa tamko na waliwasilisha bungeni kuhusu misinformation wanazopewa na kina lissu.
Ukiwa na wabunge waongo waongo namna hii ndio maana BREXIT ilifanikiwa.
 
Kama tamko halisumbui mbona unahangaika sana tangu jana, kama mmekula pesa za mashoga mtazirudisha tu kwa njia yeyote ile.
Lissu mbona amehamia huko ili azile vizuri?

Uliona mtu kaenda kuomba huo msaada? Si walileta wenyewe?

Wajinga nyie,! Na bado hata mkijibebisha kwa akina Amsterdam hamtambulia kitu na mtashuhudia tz hiu ikiendelea kustawi
 
Kama tamko halisumbui mbona unahangaika sana tangu jana, kama mmekula pesa za mashoga mtazirudisha tu kwa njia yeyote ile.
Mnahangaika kweli kuleta vitaarifa uchwara mkidanganywa na Kibaraka Lissu na beberu lenu Amsterdam. Mtanyooka tu kama tulivyowanyoosha kwenye uchaguzi mkuu.
 
Kwa hizi comments humu ni wazi tuna mazuzu wengi sana nchi hii, halafu wengine ni watu wazima na familia kabisa, hayaelewi kitu ni ushabiki maandazi tu,
Niseme tu Nchi hii itabaki mikononi mwa wazalendo hadi pele haya mazuzu yatapevuka kiakili.
Kwa akili kama za watu hawa hivi kabisa tukabidhi nchi kwa wahuni hawa! Si itakua ajabu, wana utoto labda wabalehe jamani.
 
Back
Top Bottom