Hakuna anayelia ila nyinyi ndiyo mnahangaika na vitaarifa vyenu uchwara na kibaraka wenu Lissu.Si kila siku tunaambiwa ni nchi tajiri, so tunalilia nini hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anayelia ila nyinyi ndiyo mnahangaika na vitaarifa vyenu uchwara na kibaraka wenu Lissu.Si kila siku tunaambiwa ni nchi tajiri, so tunalilia nini hapa?
Nani atanyooka??? Kwani kwenye mada kuna lolote lile alilosema huyu Balozi wenu???Utopolo tupu unaongea. Mtanyooka tu!
View attachment 1630366
Utopolo tupu unaongea. Mtanyooka tu!
View attachment 1630366
Nyie ndio mna stress za kuiba uchaguzi. Na wazungu wanavyowanyosha ndio mtaelewa yaaaniHana lolote huyo utopolo mkuu. Sana sana ana stress za kushindwa uchaguzi wa 2020. Watasubiri sana hawa nyumb.
Tetetet huna loloteNgoja nikupige sindano hii hapa ili upone ugonjwa wako wa stress!
View attachment 1630377
Mara hii unasema mabwana wenu??? 😂😂😂Washindwa uchaguzi, wameshindwa kuandamana, sasa wanaenda kushindwa na hao mabwana wanaowatumia
Mungu ibariki Tanzania
Kuna mzungu gani anatunyoosha sisi? Hivyo vitaarifa vyenu uchwara. Sikiliza hapa ili stress iongezeke tena mpaka ufe kabisa.Nyie ndo mna stress za kuiba uchaguzi. Na wazungu wanavyowanyosha ndo mtaelewa yaaani
Kwani lazima atingishe hilo bichwa kama boflo
Eti mkabidhi nchi??? Kwa hiyo mmeshaichukulia Tanzania ni Mali yenu binafsi??? Sasa subirini muone yajayo yanavyofurahisha. Jiandaeni na ICC, ipo njianiKwa akili Kama za watu Hawa hivi kabisa tukabidhi nchi kwa wahuni hawa! Si itakua ajabu,Wana utoto labda wabalehe jamani.
Nakuona wewe ndo una stress. Na mnanyooshwa kweli mwaka huuKuna mzungu gani anatunyoosha sisi? Hivyo vitaarifa vyenu uchwara. Sikiliza hapa ili stress iongezeke tena mpaka ufe kabisa.
Mfano wako hauna mashiko labda kama "your intention is to provoke others", lakini yote kwa yote basi viongozi wako wapunguze kupenda vya bure vina gharama zake.Kwani kuna mtu kawarazimisha?
Wakati wanaleta hiyo pesa waliiwekea hayo masharti wanayodai masi.tukaridhia au walikaa kimya na badae kuleta ujinga wao?
Kama mtu anaweza kukupa pesa kwa mkopo au kukusaidia kisha unapotaka kumuingilia mkeo chumbani anakuja kukukoromea huo utakua ujinga mkubwa,
Walizoea kufanya hivyo huko nyuma sasa wanadhani bado tupo katika umasikini zaidi.
Wanapsswa kujiheshimu.
Onesha hiyo diraTanzania imeamua na itasonga mbele chuki za watu wachache haziwezi kuzuia dira yetu ya MAENDELEO.
Mchina amebadilika?Mambo wamebadilika mkuu, enzi za mikataba ya bagamoyo sio hizi, Zimbabwe sio Tanzania ya sasa mkuu
Wewe umekosa hela mfukoni unajielekeza kuwaabudu wazungu, nenda ukalime kijijini hukoWe Fala kuwa shoga ni uamuzi wako , we kama Unahamu ya kuingiziwa muhogo na kushikishwa ukuta ni uamuzi wako hamna anayekuzuia , jikite kwenye mada mbwa wewe
Huoni vitu vinapanda bei onesha mpango wenu wa kuvishushaHata tulipokuwa tunawaambia Amsterdam atamharibia Lisu na kupata chini ya 20% mlikuwa mnataukana.
Sasa suburini ujionee kama hao EU wataigeuza tz kuwa Zimbabwe kama mnavyoaminishwa ujinga