Kambi ya Tundu Lissu, lianzisheni sasa kumkomboa Dr Slaa, maana mnadai kuwa Mbowe siyo "aggressive"

Kambi ya Tundu Lissu, lianzisheni sasa kumkomboa Dr Slaa, maana mnadai kuwa Mbowe siyo "aggressive"

View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Keybord worrior hawa hawa au unazungumzia wengine?
 
Jamaa wamemtelekeza kampeni manager wao wa Mbowe must go akisota lupango.
Duniani hapa kuna binadamu wa ajabu sana.
 
Kuna connection gani kati ya Slaa na Lisu.
Wakati Magufuli anampiga Lissu risasi 16, Dr Slaa alikuwa Balozi huko Belgium. Hakuwahi kulaani lile tukio.

Ogopa umoja wa WANAFIKI
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Umeandika ujinga tu
 
Lisu ana uagressive gani wa kiuongozi kwa mfano my friends ladies and gentlemen?

yaani aipeleke mpelampela serikali gani kwa mfano? Yaani makelele, porojo na mdomo ndio kupeleka serikali mpelampela? Kweli?🐒
Ntobi...... Upo? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unataka TAL awekwe ndani na team yake mwamba apite kirahisi
 
 
mropokaji Lisu :DisGonBGud:
Ooooh. .. Lissu tumekubaliana huyu hafai kuwa Mwenyekiti. Hana Siri. Ukifanya jambo anaenda kuropoka. Wenzie wanakubali na kuridhia yeye hataki. Amesababisha hadi dogo abdul na mama yake wadharulike. Hafai. Anafaa Mbowe. Kwa hilo Ntobi nakubiana nawe. CCM tunasema NO LISSU.YES MBOWE.
 
Lisu ana uagressive gani wa kiuongozi kwa mfano my friends ladies and gentlemen?

yaani aipeleke mpelampela serikali gani kwa mfano? Yaani makelele, porojo na mdomo ndio kupeleka serikali mpelampela? Kweli?🐒
Unadhani alipigwa risasi kisa ana silaha za kivita kama AK 47? NI HAYO MANENO UNAYOYAONA HAYANA LOLOTE
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Walianzishe kwa matamanio yako au kwa mipango yao?
 
Back
Top Bottom