Kambi ya Tundu Lissu, lianzisheni sasa kumkomboa Dr Slaa, maana mnadai kuwa Mbowe siyo "aggressive"

Kambi ya Tundu Lissu, lianzisheni sasa kumkomboa Dr Slaa, maana mnadai kuwa Mbowe siyo "aggressive"

View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Thubutu,
Nimesema humu mara nyingi Tanzania hakuna mwanasiasa mwenye watu kuna mashabiki tu tena wa mitandaoni ndio horizon yao.

Zuma alipokamatwa wafuasi wake walilianzizha na nchi ikatikisika au hapo Kenya mwanasiasa anaogopwa kwa kuwa wote hao wana watu.

Subiri tarehe 21 Januari ashindwe uchaguzi tarehe 23 januari mchakato wa kumfukuza Lissu uanze tufungue ukurasa mpya.
 

Attachments

  • 1736599212346.png
    1736599212346.png
    722.8 KB · Views: 1
Wakimminya vizuri atawataja hao watu waliotoa rushwa, clubhouse imemchafua sana Mh Mbowe. Nafikiri Dr Slaa anapaswa kuwa mfano ikiwezekana aletwe na Maria Sarungi wamuweke ndani nae. Dr Slaa amekiri amepewa ushahidi na watu wa usalama sasa ni wakati sahihi atoe ushahidi
Mtamua kwa pressure mzee wa watu,msamehe hajui kilichotokea.
 
Wakati Magufuli anampiga Lissu risasi 16, Dr Slaa alikuwa Balozi huko Belgium. Hakuwahi kulaani lile tukio.

Ogopa umoja wa WANAFIKI
Nadhani alikuwa balozi Sweden,uliwahi kumsikia akimkosoa Magu?Sasa kaigia kumi na nane za mwenye kisu kikali.
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIAMZISHENI...
Tayari kuna jopo la mawakili linamtetea na jumatatu atapata dhamana au ulitaka wakavunje gereza kumtoa?
 
Walianzishe kwa matamanio yako au kwa mipango yao?
Si wanadai Tundu Lissu msema kweli, basi kamtoeni Babu yenu Slaa kwa kuwa amenyimwa isivyo halali
 
Kuna uhusiano gani wa kuwa msemakweli na kumtoa Slaa ndani? Au umeishiwa na hoja boss?
Lissu si mnasema yeye hana muda wa kubembelezana na Serikali!
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIANZISHENI...
Mpeni Uenyekiti kwanza
 
Lissu si mnasema yeye hana muda wa kubembelezana na Serikali!
Acha hoja za nguvu boss. Lisu anahusika vipi na kukamatwa kwa Slaa? Naona unalazimisha jazba zako ziwe kwenye tafsiri ya asemacho Lisu. Kwanini usiseme Mbowe akamtoe kwa maridhiano maana ndio yanayotakiwa na serekali?
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIANZISHENI...
Ha ha ha machadema ya Lisu akili zao hazina akili, walimwita dokta wa mihogo, wanajiuliza walianze kwa sababu ipi wakati kiongozi wao ana faili Milembe!!
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIANZISHENI...
Embu tuone watafanya nini kumzidi Mbowe, hawajaweza hata kuzungumzia hilo jambo.
 
View attachment 3198401

Kwenye mitandao wanadai Mbowe siyo aggressive, wanataka mtu kama Tundu Lissu ili kuifanya Serikali iende mpera mpera.

Sasa kuna tukio, Dr Slaa kakamatwa usiku wa kuamkia 10/01/24 na AMENYIMWA dhamana jana Mahakamani.

Huu sasa ndiyo wakati wa Tundu Lissu kujitofautisha na Freeman Mbowe. Nasema LIANZISHENI...
🤣🤣unawatuma kama watoto wadogo
 
Mpeni Uenyekiti kwanza
Anaropoka sana, hana mshipa wa kuchuja lipi aongee wapi na lipi asiongee, hana siri, anajifanya anajuwa akili kuliko watu wote.

Hafai kujaribiwa
 
Back
Top Bottom