Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Hiyo ni government grade surveillance system, sivyo?

Kama ndiyo hii Tzs514m ni high end estimate.

Hatutakuwa tumepigwa iwapo…

Deal inahusisha installation and integration lakini pia zinatumika high end cameras Type: 4K, PTZ (Pan-Tilt-Zoom), Night Vision.

Pia kutakuwa na software inayorun AI analytics mfano facial recognition, License Plate recognition, Behavior detection etc.

Kama cameras zitakuwa ni basic models hazina advanced storage au integration basi hakika tumepigwa.
 
Ni jambo la uzuri kuweka hapa mchanganuo wote na proposal ilopelekea huyo mzabuni kushinda zabuni.

Pia hata tukifahamu gharama ya kamera moja.

Nani atasimamia hizo CCTV masaa 24?

Ujuzi wao kusimamia CCTV na kadhalika.
Mmmmmm hawatajibu hayo nina hakika jeuri watasema wewe ni nani ? Mamlaka au?
 
Subiri tender itoke utaona specs......
 
Wewe una akili ya aina gani? Dah 🙌🏾
 
Zitasaidia kukamata mizigo isiyolipiwa ushuru au kukamata vibaka wanaochomoa simu za watu!? 😊😊 nauliza tu lakini.
Wakati wa JPM pale bandari nasikia zilifungwa takribani 400 zikaunganishwa na Magogoni ili kumsaidia mhe.kujua kinachoendelea! Naona ni kama zilisaidia.
 
Sidhani, hiyo ya AI analytics na hizo zingine kama Facial recognition, License plate recognition, na Behaviour Detection zahitaji framework, regulation, guidance na code of conduct.

Huwezi tu kuchukua data (images) za watu bila ridhaa zao.

Kumbuka ukianza kutumia CCTV hata kama ni binafsi mara moja unakuwa ni Data Controller hivyo wawajibika kisheria kwa matumizi na uhifadhi wa Data za hizo kamera.
 
Umoja, amani na utulivu wa waTanzania wote Taifa katika kila kona na pembe ya nchi yetu, vitalindwa kwa nguvu na gharama yoyote bila kujali kelele au mdomo wa kibaka au tapeli yoyote wa kisiasa nchini.
Mkuu ni kamera 4,000 au 400 au 40??

Mchanganuo wa kina kwa lugha nyepesi unahitajika kufafanua kwa wananchi kuhusu matumizi ya fedha hii ya milioni 514.

Hii fedha Sio mchezo ati??
 
Mkuu ujue kwa fedha ya Bilioni 1, hapa una maanisha Kamera 1 shilingi milioni 25,700,000/=. Duh!!
 
Mkuu hakuna anayepinga wazo, uamuzi na umuhimu wa kufunga Kamera Kariokoo.

Shida ipo kwenye gharama ya ufungaji wa kamera 40 tu.

Mkuu Kamera 1 kwa shilingi 12,850,000/= ni fedha nyingi sana.

Uchanganuzi na ufafanuzi wa kina kwa wananchi unahitaji.
 
Mkuu kulikuwepo na Kamera wakati Tundu Lissu anacharazwa risasi, ilisadia nini hadi wa leo???
 
Hizo pesa ni ndogo sana. Kwa Camera arobaini?

Hivi mnataka waweke camera za aina gani hapo Kariakoo? CutePanda? Ring doorbell camera?
=============

Hivi bakresa ametumia kiasi gani cha pesa kufunga cctv camera azam tv? Acheni utani.
Mkuu si utupe mchanganuo, ni rahisi tu. Bila mchanganuo wewe ndiye unayeleta utani hapa!!
 
Zitafungwa hapo za michina mil 100 alafu chenji mil 414 zinatiwa mfukoni na walaji.
Nji hii bana
 
na zitafungwa tu bila mbambamba za mtu yeyote yule, kwa maslahi mapana ya taifa
Mkuu kwani Kariakoo ndio Tanzania nzima, na Kamera 40 zitaona mitaa na vichochoro vyote vya Kariakoo???
 
Kamera itasaidia nini, mtu aibiwe mje muyawashe makamera yenu mtampara wapi huyo mwizi?

Hao wanaolinda usalama wa raia na mali zao wako wapi? Waongezewe nguvu.
 
Tuambie wewe ni gharama kiasi gani inahitajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…