Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Mitaani kwetu tulifunga ilitumika 2m na usheh tu...

Ova
Doorbell unalinganisha na Public Camera mkuu.lπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hizo zinaitwa nn tu gugu hapa haraka na tufanye ulinganishi.

Kuna gharama zilizoambatana na hizo camera? Milingoti, nyaya, intaneti meintenesi, monitors, na wanaorikodi? For 2mTShs. Nipe hilo dili niwapigie lumumba ssa ivi turekebishe mkuu. 😁
 
Hahahaha
Najua kimoyo Moyo unasema kudadeki 500M? Haha
No gentleman,
Fanya utafiti kidogo tu kwenye makanisa hususan kanisa katoliki jimbo kuu la Dar Es Salamu,
hakuna parokia kubwa kubwa kwa mfano segerea au pale tabata limefungwa vifaa vya ulinzi vya chini ya 1bilion?

ni kwasababu waamini wao wanathamini zaidi zawadi ya uhai na maisha waliopewa na Mungu kuliko fedha, hata wanajichangisha ili kuhakikisha ulinzi na usalama wao kimwili bila mbamba ya waamini wasio thamini jambo hilo.
 
Shit hole country with asshole citizens
 
Hiyo Camera ya Mil 12 itakuwa inaona mpaka maungo ya watu waliovaa nguo.
 
Kwenye ten pasent hapo ndio msala, mkuu we huoni tunapigwa sana?
 
Gharama ya Internet ni ya kila siku haiwezu kuwepo kwenye gharama za kufunga na hata iweje haiwezi kufanya gharama iwe Milioni 514.

Gharama ya maintenance haiwezi kamwe kuwepo kwenye gharama za kufunga.

Unaonekana wewe ni kilaza sana na nadhani wanaokulip ukitetee chama chako humu wanakulipa posho za bure tu.
 
Hata kama kwa cost ya kufa mtu ?
 
Siko mbali na kampuni nguli ya sstl kufunga camera cctv na tktk zingine...
Mitaa yetu baadhi walituwekea
Ila camera zimeenda shule na syo door bell cam

Ova
 
Mitaa mingi ya uhindi,kisutu, Libya Street nk wDosi wamefunga wenyewe

Ova
Juzi nilikwenda pale Morogoro Rd (uhindini) pana duka la mhindi auza hizo kamera na ana za kisasa kabisa.

Naimarisha ulinzi wa eneo langu hapa Kibaigwa ili niweke kumuona mtu akija tokea getini.

Kamera zipo na bei yake si ya juu sana.

Hata kama waziagiza kutoka nje.
 
Acha kutisha watu wewe
Umoja, amani na utulivu wa waTanzania wote Taifa katika kila kona na pembe ya nchi yetu, vitalindwa kwa nguvu na gharama yoyote bila kujali kelele au mdomo wa kibaka au tapeli yoyote wa kisiasa nchini.

Umoja, amani na utulivu wa waTanzania wote Taifa katika kila kona na pembe ya nchi yetu, vitalindwa kwa nguvu na gharama yoyote bila kujali kelele au mdomo wa kibaka au tapeli yoyote wa kisiasa nchini.
Acha kutisha watu wewe.... Umoja gani wa kisΒ£ngΒ£ kiasi hicho.
 
Siko mbali na kampuni nguli ya sstl kufunga camera cctv na tktk zingine...
Mitaa yetu baadhi walituwekea
Ila camera zimeenda shule na syo door bell cam

Ova
Hao SSTL ndo wataalam kwa sasa.

Hapa nilipo Kibaigwa watanifungia tokea getini na kuzunguka uzio maana nikiwa busy nafuatilia masuala ya kidunia napendelea kusiingie hata kainzi.

Uzio pia wameniwekea "detectors" ambazo hata nyoka akijaribu kupanda ujumbe huenda kwenye LDC monitor na naona kila kitu.
 
Mapovu ya nn ww mzee? Unalea wajukuu nn?

Kama ni hivyo waahadithie huu upumbavu ulioandika.

Ww umefanya ulinganishi wapi? Tena unaonekana hujui unachokizungumzia, unauliza "tangu lini gharama ya camera 40 ikawa milioni 500..."
Tangu lini gharama ya Camera 40 ikawa milioni 514? Ni Camera zipi hizo zenye twknolojia ipi hiyo ambayo hatuifahamu yenye thamani hiyo?
Kama hata hujui ni camera zipi, teknolojia-tena ambazo hufahamu thamani yake, unawezaje kusema huo ni Wizi? Unataka ufanyike uasi kwanini?
 
Sstl wako vzr na wana cam bora kabisa.....

Ovs
 
Acha kutisha watu wewe



Acha kutisha watu wewe.... Umoja gani wa kisΒ£ngΒ£ kiasi hicho.
ni ukweli mtu gentleman,
huna haja kutishwa na ukweli kisha ukaamini na kupewa ujasiri na upotoshaji wa vibaka na matapeli wa kisiasa kwenye mambo haya muhimu sana ya ulinzi na usalama wa watu na makazi yao
 
Siko mbali na kampuni nguli ya sstl kufunga camera cctv na tktk zingine...
Mitaa yetu baadhi walituwekea
Ila camera zimeenda shule na syo door bell cam

Ova
Kuna gharama zilizoambatana na hizo camera?
Milingoti, nyaya, intaneti meintenesi, monitors, na wanaorikodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…