Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #61
NANI MDOGOWAKO SASA?Unajua ngoja nikuambie kitu mdogo wangu Money Penny. Hapa duniani usipokua makini kuna watu wanaweza wakakuvurugia maisha bila sababu yoyote.
Mimi najua kila mtu ana madhambi yake ambayo asingependa jamii iyajue. Mfano kama mke wangu anachepuka, na anafanya kwa siri ili mimi nisijue, kwangu mimi huyo mke ananipenda na kuniheshimu sana ndio maana anafanya kwa kificho!
Sasa wewe unapomuona sehemu kajificha halafu unakuja kuniambia, we unataka nini kama sio kutufarakanisha?
Ujinga ni kujiaminisha kwamba wewe umeoa/lewa na malaika ambae hafanyi hayo mambo.
ANAMUOA MARA NGAP?Mwambie amweleze mume wake amuoe kabisa ili wawe wawili ulinzi wa mume kuchepuka utaimarika maana watasaidia kumlinda
AYA MAMISamahani babu mimi sio aunty
Unataka ampige ndio amuache?!Sasa anataka amuachie nani?halafu yeye aende wapi?alitumia kondom?kwani huwa anampigaga?
acha kutetea uzinziAshukuru mumewe ni dume Haswa,,alitaka amfumanie mume wake anakazwa au??tena ampe pongezi rafiki yake Kwa kumsaidia majukumu mshauri wapige thrii samu itanoga kwa kuwa ni watu wanaofahamiana efectivli na Iwe Usiku wa mwaka mpya asikaze Sana shingo atapasuka bure!!
basi hujapenda!Duh yanawakumba ya marafiki wanasema.. rafiki anatuma kuliko stranger.
Mie ningesepa waendelee salama.
WeapoπNANI MDOGOWAKO SASA?
Me sipo nduguyo broWeapoπ
Poa poa baba watotoAYA MAMI
basi hujapenda!
Nisamehe Basi,,,"nimekosa Mimi,,, nimekosa Mimi,, nimekosa sanaa"(in Ndugai's voisi)acha kutetea uzinzi
SAUWASema hayajanikumba.. ila rafiki labda niwe na mpango wa kumfanya Baya ndio niendelee aiseee. Hapo labda Siri zote amekuwa anampa anamrekodi.. amsikilizishe na mengine amuonyeshe mumewe..
Mimi ndoa yangu marafiki nawaweka mbali nayo.. kwanini wamzoee mume wangu.. ili iweje kwanza!!! Namba zao awe nazo za nini na kisa eeeeh π€
sawaNisamehe Basi,,,"nimekosa Mimi,,, nimekosa Mimi,, nimekosa sanaa"(in Ndugai's voisi)
Usije kuta huyo shoga ake ndio ameandaz fumanizi ili mke aondoke abaki yeye, kwanza ukiona hauwezi kuacha acha kutengeneza fumanizi, utaumia maisha yako yoooyeJambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano![emoji2297] Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Binafsi, hata nimkute mke wa rafiki au mume wa mtu ninayemjua, na mtu mwingine, SISEMII..!! Kama kimenikaba sana ntamwambia huyo anayechepuka ili ajirekebishe..!! Kumwambia mwenza wake unataka kitokee nini? Wakiuwana, huko kujisikia guilty hakutakutoka maishani mwako...!!Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πββοΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πββοΈπββοΈπββοΈ
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πββοΈπββοΈπββοΈ
AmsameheJambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πββοΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πββοΈπββοΈπββοΈ
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πββοΈπββοΈπββοΈ