Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar: Tulikamata wavuta bangi sio wanaokula mchana

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar: Tulikamata wavuta bangi sio wanaokula mchana

Serikali ya Zanzibar ichutame tu. Polisi huyu hapa akikiri kuwa kawakamata watu 12 kwa kosa kula mchana.

 
Na Kuna DC alitolea ufafanuzi aina ya kosa litakalowatia hatiani hao watu 12 waliokamatwa wakila mchana. Akasema watashitakiwa kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoikerahisha jamii.

Kula mchana wakati wa mwezi mtukufu ni kuikerahisha jamii. Akalinganisha na kitendo cha mtu kuvua nguo na kuamua kutembea uchi barabarani.
 
Na Kuna DC alitolea ufafanuzi aina ya kosa litakalowatia hatiani hao watu 12 waliokamatwa wakila mchana. Akasema watashitakiwa kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoikerahisha jamii.

Kula mchana wakati wa mwezi mtukufu ni kuikerahisha jamii. Akalinganisha na kitendo cha mtu kuvua nguo na kuamua kutembea uchi barabarani.
Sasa chukueni hii taarifa mpya ya Bangi , huko mwanzo walinukuliwa vibaya
 
Wameona yanini kelele yawe mengi ngoja tupindue kesi 😂
Kuna muhafidhina mmoja alikuja hapa akitetea ile habari ya watu kukamatwa kwa kula mchana mwezi wa Ramadhani, akidai kuna sheria hiyo, nikamtaka aiweke hapa.

Kakimbia mpaka sasa hajanijibu.

Sasa kama hawa wamepatikana na bangi, kwa nini awali walisemwa wamekamatwa kwa kula mchana kipindi cha Ramadhani?

Tukisema wamebambikiwa kesi ya nmbangi kwa sababu hakuna sheria ya kumfunga mtu kwa kula mchana kipindi cha Ramadhani tutakuwa tunakosea?
 
Sasa chukueni hii taarifa mpya ya Bangi , huko mwanzo walinukuliwa vibaya
Wamenukuliwa vibaya mpaka msemaji wa serikali naye hajahakiki habari?

Tukisema hiyo kesi ya bangi wamebambikiwa baada ya kuonekana hakuna sheria ya kumfunga mtu anayekula mchana mwezi wa Ramadhani tutakuwa tunakosea?
 
Hii ndio Taarifa mpya kutokea huko Zanzibar , kwamba zile kelele kwamba kuna watu walikamatwa kwa kula mchana wa Ramadhan ulikuwa Uzushi tu wa wale wasioitakia mema Nchi hiyo

Habari mpya ni kwamba wale jamaa walikamatwa na Msuba , Bali bado hatujajua na ile Hotel ya kitalii iliyopigwa faini kwa wageni wake kula hadharani nao walidakwa na nini .

View attachment 2951549
Hiyo bangi wamewekewa mifukoni na kuwabambikiza kesi.

Video inaonyesha mmoja akipigwa na kumwambia anawadharau waislamu! Kwa hiyo wasitutoke katika mjadala wetu!
 

legalise recreational cannabis​

Germany on Monday became the biggest EU country to legalise recreational cannabis, despite fierce objections from opposition politicians and medical associations.

Issued on: 01/04/2024 - 07:29Modified: 01/04/2024 - 13:38
2 min
Germany will now have some of the most liberal cannabis laws in Europe.
01:23
Germany will now have some of the most liberal cannabis laws in Europe. © John MacDougall, AFP/

Waliotufunza na kutukaririshq hizi Sheria wenyewe wameamua kila Mtu abebe Msalaba wake.
 
Hivi tunahitaji ushahidi gani kuwa jeshi la polisi linawabambikia watu kesi? Inahitaji akili ya mwendawazimu kuamini taarifa yoyote inayotolewa na jeshi la polisi.
 
Hii ndio Taarifa mpya kutokea huko Zanzibar , kwamba zile kelele kwamba kuna watu walikamatwa kwa kula mchana wa Ramadhan ulikuwa Uzushi tu wa wale wasioitakia mema Nchi hiyo

Habari mpya ni kwamba wale jamaa walikamatwa na Msuba , Bali bado hatujajua na ile Hotel ya kitalii iliyopigwa faini kwa wageni wake kula hadharani nao walidakwa na nini .

View attachment 2951549
Mashada tupu hayo
 
Kamishna Mkuu wa Jeshi la polisi Zanzibar, CP Hamad Khamis Hamad amesema hakuna sheria inayowaruhusu Polisi Zanzibar kuwakamata Watu wanaokula hadharani mchana wa Ramadhani na kusema chanzo cha msako uliofanyika ni baada ya video iliowaonesha Watu wakivuta bangi mchana maeneo ya Maisara Zanzibar.

CP Hamad ametoa ufafanuzi huo kufuatia operesheni iliofanyika Mkoa wa Mjini na kuwakamata Watu waliodaiwa kula mchana wa Ramadhan “Hakuna sheri inayokataza Watu wasile mchana wa Ramadhani, nilitoa maelekezo baada ya video ya wanaovuta bangi kwamba ifanyike oparesheni wale wavuta bangi kwasababu bangi ni kosa la jinai hakuna sheria inayoruhusu Watu kuvuta bangi ila hatukuwakamata wala mchana”

“Shida iliyojitokeza operesheni hii ilikamata waliomo na wasiokuwemo, wavuta bangi na waliokula hadharani, Mampaka nyingine za Kiserikali huwa zinafanya oparesheni hiyo ya wanaokula mchana na wajibu wetu ni kusimamia ili ili zifanyike kwa salama na amani.”
Kama haya maneno yametamkwa na mtu mwenye cheo Cha kamishna wa jeshi la polisi basi ni wazi kwamba anapaswa kuvuliwa hicho cheo.
 
Back
Top Bottom