Ficha panga lako sehemu salama tukutane October kuichinjia mbali CCM.Uchaguzi mwaka uu si mchezo na ni mgumu kwa chama tawala, wananchi wameamka sana kwa kipindi hiki.
Nadhani Tanzania inatoka stage moja kwenda nyingine.
Loh mwaka uu ni hatari
Wallah huyo mtia nia kama angekua baba yangu Ndugai angesha R.I.P mpaka sasa.oneni ndugai alivyomfanya mgombea mwenzake ,kampiga na gongo
mabadiliko hayakwepeki mwaka huuNajiandaa kisaikolojia kusikia mengi.Huu ni mwaka wa furaha kwa wapenda maendeleo.
Yani langu shalinoa nasubiria October nikafanye maamuzi magumu tu basiFicha panga lako sehemu salama tukutane October kuichinjia mbali CCM.
Ndio maana nakupendaga maana mimi na wewe hatupingani.
La kuvunda....
Hahahaaa nao wafanye maamuzi magumu wapendane.wengine watawaonea wivu jamani namna mnavyopendana
Hakuna namna tena zaidi ya kuifyeka CCM.Yani langu shalinoa nasubiria October nikafanye maamuzi magumu tu basi
Hahahaaa nao wafanye maamuzi magumu wapendane.