Uchaguzi 2020 Kampeni lala salama: Magufuli yuko kwenye Mabango na Lissu yuko ndani ya mioyo ya Watanzania!

Uchaguzi 2020 Kampeni lala salama: Magufuli yuko kwenye Mabango na Lissu yuko ndani ya mioyo ya Watanzania!

Nimekaa na kufatilia, wanaompenda lissu na CHADEMA wana matatizo ya akili
2431549_09886.jpg


Wafuasi wa huyu jamaa ndio wanatakiwa kupelekwa Mirembe Mental Hospital!
 
Wanaoenda kwenye mikutano ya CCM ndio wapiga kura,waendao kwenye mikutano ya vyama vya upinzani hawajajiandikisha!!!
Kweli CCM imefanikiwa kwa asilimia mia moja kuwafanya misukule.
😂😂😂 Ni wapi nimeandika hivyo? Hao wahuni wanaodeki barabara hakuna mpiga Kura hata mmoja,hata kama utaamua kibisha.
 
Kumekucha...kumekucha!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.

Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.

Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.

Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.

Mfano hai: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!


Atabaki kwenye mioyo yenu lakini sio Raisi wa nchi.
Nchi ni kitu kingine.
 
View attachment 1602046

Wafuasi wa huyu jamaa ndio wanatakiwa kupelekwa Mirembe Mental Hospital!
Raisi alieko madarakani akifanya vizuri sana lazima aue vyama vya upinzan indirectly,
Anyways upinzani ni muhimu sana kwa nchi kuendelea for long Run, ila sii upinzan wanaopinga kila kitu, upinzan wanaopima kila kitu ni kirusi katika maendeleo, huyu jamaa japo anaua upinzan ila pia anafanya maendeleo
Kinachomboa nahisi ni aina ya wapinzan anaowaona, wapinzani wasiojielewa na wanaopinga kila kitu, kweli wapinzani wa Tz ndo wamekuwa wa kupinga kujengwa barabara au kuwabana wawekezaji kwenye sector ya madini kweli, afu na mimi mtu mwenye akili zangu nikae nianze kushabikia upinzan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kweli binadam tunatofautiana sana kufikiria
 
Kumekucha...kumekucha!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.

Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.

Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.

Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.

Mfano hai: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!


Je Tundu Lissu atakuwa na uwezo wa kuleta mabadiliko ya msingi au na yeye anatafuta kula.
 
Watu wana mihemko tu ukimuuliza mtu kwanini Lissu ?hana sababu za msingi,yani anaweza kukuelezea sababu hata mia kwanini ccm na magufuli wake hawafai ila hana sababu za kwanini anayefaa ni Lissu.
 
Hivi Lissu angehamia ACT angekuwa na nguvu kama Maalim seifu au ndio watu wangempotezea tu?
 
Kumekucha...kumekucha!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.

Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.

Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.

Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.

Mfano hai: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!

Naona dish limeshayumba
 
Watu wana mihemko tu ukimuuliza mtu kwanini Lissu ?hana sababu za msingi,yani anaweza kukuelezea sababu hata mia kwanini ccm na magufuli wake hawafai ila hana sababu za kwanini anayefaa ni Lissu.

Sababu ni kwamba alipigwa risasi 16 na ni kamanda mwenye uwezo wa kutukana 24/7, whether yuko nchini au nje ya nchi!
 
Kumekucha...kumekucha!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.

Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.

Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.

Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.

Mfano hai: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!


Umeusema ukweli wote
 
Back
Top Bottom