LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Ukiweka bango jiandae kupambana na TRAIla CHADEMA bwana..Kushindwa kumudu gharama za mabango imekuwa kama ni jambo walilo plan.
Au ndio sihitaji hizi ni Mbichi, ili hali ni Mbivu(hadithi ya sungura).
Anyways..Mie huku mtaani naona vipeperushi vyao na wagombea wao kama vya wale wa Jiunge na freemason😂😂