Uchaguzi 2020 Kampeni lala salama: Magufuli yuko kwenye Mabango na Lissu yuko ndani ya mioyo ya Watanzania!

Uchaguzi 2020 Kampeni lala salama: Magufuli yuko kwenye Mabango na Lissu yuko ndani ya mioyo ya Watanzania!

Ila CHADEMA bwana..Kushindwa kumudu gharama za mabango imekuwa kama ni jambo walilo plan.

Au ndio sihitaji hizi ni Mbichi, ili hali ni Mbivu(hadithi ya sungura).

Anyways..Mie huku mtaani naona vipeperushi vyao na wagombea wao kama vya wale wa Jiunge na freemason😂😂
 
Lissu yumo mioyoni mwa wanachama na washabiki wa Mbowe tu, watanzania wazalendo tunakwenda na JPM.
 
Tumewazoea na kelele zenu, mwaka 1995 mlisukuma gari la Lytonga MREMA, baadaye mlihamia kwa NGANGALI na kutandika khanga za CUF, hamkuishia hapo mkahamia chadema na kudeki barabara za jiji la Mwanza. Safari hii mnafagia. Lakini vipigo hamjawahi kuvikwepa, mwaka huu mtajificha wapi sijui. Vyama vyenu ni vya kiunaharakati haitatokea muipate dola labda muanze upya kwa kuviunda upya. Subirini kipigo
CCM muelewe kuwa si kila siku ni siku ya gulio
 
Naona MAMLUKI wa CCM asaiv wanavamia kila UZI unaohusu kampeni za Lissu kwa matusi na kejeli ilihali wana UZI wao humu umedoda ile mbaya hauna wachangiaji au ni wale wale tuliowazoea humu wazee wa kukurupuka...

......Ukweli unauma na ni mchungu, CCM hali ni mbaya sana ndio maana mna panic na kufoka foka kila UZI wa kisiasa humu jukwaani mbaya zaidi watetezi wa hiki chama ni walewale na akili zinafanana unaweza kuhisi ni mtu mmoja ndio ana own accounts zote, Vijana wa sisiem punguzeni jazba mtakufa na presha huku bado taifa linawahitaji....
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi 1992.
 
Kama Ni swala la kuwa Rais myoyoni mwenu(wachache) nakubali, Ila swala la yeye kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ni ndoto mpaka kiama,licha ya kuutamani ataishia kuusikia tu.

Kuna jamaa miaka ile aliwahi hadi kuzima gari yake na akasukumwa na raia umbali mrefu Ila hakushinda,mwangine alihama CCM akapokelewa huko, watu walideki barabara,wakamtandikia vitenge vyao barabarani Ila sasa, acha nicheke tu [emoji23][emoji23][emoji23].

Kwaajili yako mleta mada,Kati ya hao wahuni wanaodeki barabara Kuna wapiga Kura wangapi?

CC: Mzalendo2015
Wanaoenda kwenye mikutano ya CCM ndio wapiga kura,waendao kwenye mikutano ya vyama vya upinzani hawajajiandikisha!!!
Kweli CCM imefanikiwa kwa asilimia mia moja kuwafanya misukule.
 
Naona MAMLUKI wa CCM asaiv wanavamia kila UZI unaohusu kampeni za Lissu kwa matusi na kejeli ilihali wana UZI wao humu umedoda ile mbaya hauna wachangiaji au ni wale wale tuliowazoea humu wazee wa kukurupuka...

......Ukweli unauma na ni mchungu, CCM hali ni mbaya sana ndio maana mna panic na kufoka foka kila UZI wa kisiasa humu jukwaani mbaya zaidi watetezi wa hiki chama ni walewale na akili zinafanana unaweza kuhisi ni mtu mmoja ndio ana own accounts zote, Vijana wa sisiem punguzeni jazba mtakufa na presha huku bado taifa linawahitaji....
Ila mwisho umekosea sana, ukweli taifa haliwahitaji hata kidgo

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Bavicha kwa kutwist uhalisia hamjambo. Lissu hayuko kwenye mabango kwa kuwa mabango yanalipiwa na huwezi kuafford kama chanzo chako cha mapato ni kutembeza bakuri. Ila pia hayuko mioyoni mwa wananchi kwa kuwa hamna muelewa yeyote wakumkubali mjuaji kama lissu
 
Kumekucha...kumekucha!
Bado siku 11 tu kipenga Cha kumaliza mchezo kipulizwe hapo 28 Oktoba,2020.

Fainali ni kati ya hawa miamba 2 John Joseph Pombe Magufuli (CCM) na Tundu Antipas Mughwai Lissu (CHADEMA). Kampeni za Hawa miamba 2 ndizo zinavuta Hisia, Ushawishi na Hoja zenye mashiko.

Wakti Magufuli(CCM) ANATUMIA nguvu kubwa sana kwene Kampeni zake kwa MABANGO MAKUBWA KILA KONA YA NJI HII Mhe. Lissu(CHADEMA) anaonekana anajitangaza KUPITIA NDANI MIOYO YA WATANZANIA MASKINI waliopoteza matumaini. Watz Hawa wanamwona Mhe. Lissu kama mtu anayekwenda kurudisha matumaini yaliyopotea kwa miaka 5.

Ogopa sana kushindana na falsafa iliyojengeka ndani ya mioyo ya Watu na propaganda za midomoni zisizo na tija wala impact yoyote kwene maisha ya kila siku ya Watanzania.

Mfano rahisi: Jiji la Dar limejengwa Flyovers za Mfugale na Ubungo Changeover lakini mvua ya siku 1 imeleta mafuriko na kupoteza maisha ya WATANZANIA wenzetu 12 wasio na hatia!!!



Nini cha ajabu kwa shabiki wa Chadema kumshabikia mgombea wao? Endelea kujipa matumaini hewa.

Kwa sababu uwezo wenu wa kuchambua hali ya kisiasa ni mdogo, acha tu nikushauri urudi hapa mapema November 2020 utupe mrejesho wa yaliyojiri!
 
Kama Ni swala la kuwa Rais myoyoni mwenu(wachache) nakubali, Ila swala la yeye kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ni ndoto mpaka kiama,licha ya kuutamani ataishia kuusikia tu.

Kuna jamaa miaka ile aliwahi hadi kuzima gari yake na akasukumwa na raia umbali mrefu Ila hakushinda,mwangine alihama CCM akapokelewa huko, watu walideki barabara,wakamtandikia vitenge vyao barabarani Ila sasa, acha nicheke tu 😂😂😂.

Kwaajili yako mleta mada,Kati ya hao wahuni wanaodeki barabara Kuna wapiga Kura wangapi?

CC: Mzalendo2015
Na wewe tuambie hao wahuni waliomdekia barabara Jiwe wangapi watapiga Kura?🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom