Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?