Tetesi: Kampeni ya kumpongeza Rais Samia imetumia billion 80. Je, huu sio upigaji?

Tetesi: Kampeni ya kumpongeza Rais Samia imetumia billion 80. Je, huu sio upigaji?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.

Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.

Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
 
Umekalia majungu tu, unahisi kila mahali ni vijiwe vya kahawa. Ukiambiwa utoe ushahidi wa hiyo bilioni 80 utaweza?

Eti mtu mkubwa takukuru, unahisi kila mtu pimbi umdanganye kindezi

Fanya kazi acha ujinga
 
Hata mimi nimemsikia Lucas Mwashambwa analalamika kuwa hela imetolewa ndefu kwa chawa na viroboto lakini yeye wamemruka

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nasikia kapewa elfu hamsini na kuahidiwa teuzi hivi karibuni wakati kuna chawa wamedakishwa hadi M5 luka ameumia sana
 
Wadau akatika kuongea na mdau serikalinlin ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza SAmia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz..Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamatinmbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata ..wilaya..mkoa na Taifa,,Gharama za vyombo vya habari,,machapisho..mango etc.Huyu mtu Yuko ofisi ya Takukuru.. Kanitonya hivyo ni Kwa mjibu WA kioort walizozikuswbya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake.Je nibfair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana??
Huu ni uzushi
 
Wewe Ni muongo tu na mbabaishaji tu ndio maana hata uandishi wako Ni wa kibabaishaji tu haueleweki Wala kusomeka vizuri.

Rais Samia hahitaji kuundiwa kamati za kulipwa Hadi posho kwa ajili ya kumpongeza,kwa kuwa kazi zake zinaonekana machoni mwa kila mtanzania mwenye uwezo wa kuona na asiye na matatizo ya macho.

Rais Samia na serikali yake kajenga miradi mbalimbali kila Kona ya nchi hii inayoonekana na kuwanufaisha watanzania,Nani asiyeona vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini ,Nani asiyeona vyumba vya madarasa vikipendeza,Nani asiyeona hayo? Kwani hayo yanamhitaji kamati? Kwani watanzania Ni vipofu Hadi wasione?

Nani asiyefahamu juhudi za mh Rais kuwasaidia na kuwainua kiuchumi wakulima? Nani hafahamu juu ya utolewaji wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu?

Nani hafahamu namna mh Rais alivyowabebea mzigo wa gharama za maisha kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei kwa bidhàa mbalimbali? Au hujuwi mafuta Ni injini ya uchumi?

Mtanzania yupi hatambui kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na mh Rais katika kuvutia wawekezaji,watalii pamoja na wafanyabiashara hasa baada ya wazo lake la kuitangaza nchi yetu na vivutio vyake kupitia Royal Tour?

Rais Samia Ni chaguo la watanzania Kuendelea kututumikia na kuwaongoza katika muhula wa pili,ndio kiu Yao Watanzania na kwa sauti za pamoja watanzania wameamua kwenda na Rais Samia na kuiomba kwa magoti na unyenyekevu CCM iwaletee mama Samia Uchaguzi Ujao.

Katika Uongozi Wa Rais Samia huwezi ukabaki salama wala kusalimika ukibainika Kuchezea pesa za umma,huwezi ukapona Wala kupata njia ya kuukwep mkono wa Sheria ,Ni lazima ukione Cha Moto,Ni lazima upitishwe njia ya majonzi,maumivu, uchungu na majuto kisheria. Rais Samia Hana Subira katika Hilo la mtu yeyote yule juu ya pesa za umma
 
Wewe Ni muongo tu na mbabaishaji tu ndio maana hata uandishi wako Ni wa kibabaishaji tu haueleweki Wala kusomeka vizuri.

Rais Samia hahitaji kuundiwa kamati za kulipwa Hadi posho kwa ajili ya kumpongeza,kwa kuwa kazi zake zinaonekana machoni mwa kila mtanzania mwenye uwezo wa kuona na asiye na matatizo ya macho.

Rais Samia na serikali yake kajenga miradi mbalimbali kila Kona ya nchi hii inayoonekana na kuwanufaisha watanzania,Nani asiyeona vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini ,Nani asiyeona vyumba vya madarasa vikipendeza,Nani asiyeona hayo? Kwani hayo yanamhitaji kamati? Kwani watanzania Ni vipofu Hadi wasione?

Nani asiyefahamu juhudi za mh Rais kuwasaidia na kuwainua kiuchumi wakulima? Nani hafahamu juu ya utolewaji wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu?

Nani hafahamu namna mh Rais alivyowabebea mzigo wa gharama za maisha kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei kwa bidhàa mbalimbali? Au hujuwi mafuta Ni injini ya uchumi?

Mtanzania yupi hatambui kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na mh Rais katika kuvutia wawekezaji,watalii pamoja na wafanyabiashara hasa baada ya wazo lake la kuitangaza nchi yetu na vivutio vyake kupitia Royal Tour?

Rais Samia Ni chaguo la watanzania Kuendelea kututumikia na kuwaongoza katika muhula wa pili,ndio kiu Yao Watanzania na kwa sauti za pamoja watanzania wameamua kwenda na Rais Samia na kuiomba kwa magoti na unyenyekevu CCM iwaletee mama Samia Uchaguzi Ujao.

Katika Uongozi Wa Rais Samia huwezi ukabaki salama wala kusalimika ukibainika Kuchezea pesa za umma,huwezi ukapona Wala kupata njia ya kuukwep mkono wa Sheria ,Ni lazima ukione Cha Moto,Ni lazima upitishwe njia ya majonzi,maumivu, uchungu na majuto kisheria. Rais Samia Hana Subira katika Hilo la mtu yeyote yule juu ya pesa za umma
 
Wewe Ni muongo tu na mbabaishaji tu ndio maana hata uandishi wako Ni wa kibabaishaji tu haueleweki Wala kusomeka vizuri.

Rais Samia hahitaji kuundiwa kamati za kulipwa Hadi posho kwa ajili ya kumpongeza,kwa kuwa kazi zake zinaonekana machoni mwa kila mtanzania mwenye uwezo wa kuona na asiye na matatizo ya macho.

Rais Samia na serikali yake kajenga miradi mbalimbali kila Kona ya nchi hii inayoonekana na kuwanufaisha watanzania,Nani asiyeona vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini ,Nani asiyeona vyumba vya madarasa vikipendeza,Nani asiyeona hayo? Kwani hayo yanamhitaji kamati? Kwani watanzania Ni vipofu Hadi wasione?

Nani asiyefahamu juhudi za mh Rais kuwasaidia na kuwainua kiuchumi wakulima? Nani hafahamu juu ya utolewaji wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu?

Nani hafahamu namna mh Rais alivyowabebea mzigo wa gharama za maisha kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei kwa bidhàa mbalimbali? Au hujuwi mafuta Ni injini ya uchumi?

Mtanzania yupi hatambui kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na mh Rais katika kuvutia wawekezaji,watalii pamoja na wafanyabiashara hasa baada ya wazo lake la kuitangaza nchi yetu na vivutio vyake kupitia Royal Tour?

Rais Samia Ni chaguo la watanzania Kuendelea kututumikia na kuwaongoza katika muhula wa pili,ndio kiu Yao Watanzania na kwa sauti za pamoja watanzania wameamua kwenda na Rais Samia na kuiomba kwa magoti na unyenyekevu CCM iwaletee mama Samia Uchaguzi Ujao.

Katika Uongozi Wa Rais Samia huwezi ukabaki salama wala kusalimika ukibainika Kuchezea pesa za umma,huwezi ukapona Wala kupata njia ya kuukwep mkono wa Sheria ,Ni lazima ukione Cha Moto,Ni lazima upitishwe njia ya majonzi,maumivu, uchungu na majuto kisheria. Rais Samia Hana Subira katika Hilo la mtu yeyote yule juu ya pesa za umma
Swali simple, je ilikuwa ni kampeni ya serikali? Ilikuwa inatumia bajeti ipi?
 
Back
Top Bottom