Tetesi: Kampeni ya kumpongeza Rais Samia imetumia billion 80. Je, huu sio upigaji?

Tetesi: Kampeni ya kumpongeza Rais Samia imetumia billion 80. Je, huu sio upigaji?

Wadau akatika kuongea na mdau serikalinlin ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza SAmia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz..Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamatinmbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata ..wilaya..mkoa na Taifa,,Gharama za vyombo vya habari,,machapisho..mango etc.Huyu mtu Yuko ofisi ya Takukuru.. Kanitonya hivyo ni Kwa mjibu WA kioort walizozikuswbya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake.Je nibfair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana??
Kwanza jifunze kuandika vizuri kiswahili, pili huyo "mtu wa juu serikalini aliye takukuru" alikuwa anakueleza ili iweje ? Je angekwambia ilitumika bil 300 ? Tatu, azimio la kumpongeza Samia ni la bunge, tangu lini bunge likatumia bil 80 kwa siku ?
 
Mods nisaidie Kwenye title isomekea kampeni na siyo kampuni
1. Siyo tu tittle mwandiko mbovu! Andika vizuri, tulia, hakiki kazi yako na uondoe makosa yote. 2. Kuwa scientific kwa kuweka evidence. Tujue kwa mfano, ni media zipi na zimelipwa kiasi gani na nani waliopokea? Huko wilayani wamelipwa nan na kiasi gani ? 🙏🙏🙏
 
Wadau akatika kuongea na mdau serikalinlin ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza SAmia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz..Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamatinmbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata ..wilaya..mkoa na Taifa,,Gharama za vyombo vya habari,,machapisho..mango etc.Huyu mtu Yuko ofisi ya Takukuru.. Kanitonya hivyo ni Kwa mjibu WA kioort walizozikuswbya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake.Je nibfair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana??
Whats the problem so far,
Mbona kuna magofu chato na 3 trilion za CAG hazijulikan zilipo na plea bargain nazo hatujui zilikoenda bado za bureau de change nk
 
CCM ni tatizo, mwenda zake katumia mabilioni kununua wapinzani, huku tena kupongezana kwa mabilioni ya fedha, hapa Bora maandamano ya bila uwoga, tunaweza okoa nchi.
 
Wadau akatika kuongea na mdau serikalinlin ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza SAmia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz..Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamatinmbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata ..wilaya..mkoa na Taifa,,Gharama za vyombo vya habari,,machapisho..mango etc.Huyu mtu Yuko ofisi ya Takukuru.. Kanitonya hivyo ni Kwa mjibu WA kioort walizozikuswbya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake.Je nibfair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maa
Nyani haoni kundule? Au wahuni hawa wanafanya show/usanii tu
 
Ndio maana tunasema hizi Taasisi haziwezi kulisaidia taifa, Wanamjua Panya mula kalanga then yule panya nae Anasimama mbele ya hao paka akifoka foka wasijue nini wanatakiwa kufanya , Mwisho wa Mwezi hao hao Paka ambao walifeli kumkata Panya Mla Kalanga , huyo Panya anawalipa Mishahala na Stahiki zao zote
 
Wadau akatika kuongea na mdau serikalinlin ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza SAmia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz..Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamatinmbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata ..wilaya..mkoa na Taifa,,Gharama za vyombo vya habari,,machapisho..mango etc.Huyu mtu Yuko ofisi ya Takukuru.. Kanitonya hivyo ni Kwa mjibu WA kioort walizozikuswbya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake.Je nibfair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana??
Kama ni kweli Samia #}€+^]\?•>!~%!!!****!!!!!
 
Wadau akatika kuongea na mdau serikalinlin ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza SAmia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz..Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamatinmbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata ..wilaya..mkoa na Taifa,,Gharama za vyombo vya habari,,machapisho..mango etc.Huyu mtu Yuko ofisi ya Takukuru.. Kanitonya hivyo ni Kwa mjibu WA kioort walizozikuswbya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake.Je nibfair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana??
Habar ni ya umbea ,hakuna uthibitisho wowote juu ya habar hii,nawaomba habari kama hizi zipuuzeni na haswa mkiwa na Akili timamu kama mm
 
Back
Top Bottom