Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
UnaijuaV8 wewe 😂😂😂😂Jibu kwanza ulikoona hayo matumizi ya billion 80? Unaijuwa billion 80?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnaijuaV8 wewe 😂😂😂😂Jibu kwanza ulikoona hayo matumizi ya billion 80? Unaijuwa billion 80?
Pesa za ndani zinapigwa sana Kisha tunaomba misaada na kuwapigia magoti wazungu .Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Bango moja ni shs. milioni 12! Waongeze tozo kufidia hizo, ila watanzania tujue wanaccm ndio wanaoihujumu nchi na ndio kwa hivi sasa matajiri wakubwa ambao hawajawahi kufanya biashara na ndio wanaoporomosha maghorofa vichochoroni na ni wamiliki wa malori na mabasi.Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Ahahahahaha! Umefanya plagiarism Mkuu. Ungem quote Msemaji kuwa ni King Dr. Msukuma (Ansard; 4/4/2023)! Ahahahahaha!Watu Wanakula na Kamba za mpira zinavutika.
By MsukumaAhahahahaha! Umefanya plagiarism Mkuu. Ungem quote Msemaji kuwa ni King Dr. Msukuma (Ansard; 4/4/2023)! Ahahahahaha!
We ni mpumbavu plusWewe Ni muongo tu na mbabaishaji tu ndio maana hata uandishi wako Ni wa kibabaishaji tu haueleweki Wala kusomeka vizuri.
Rais Samia hahitaji kuundiwa kamati za kulipwa Hadi posho kwa ajili ya kumpongeza,kwa kuwa kazi zake zinaonekana machoni mwa kila mtanzania mwenye uwezo wa kuona na asiye na matatizo ya macho.
Rais Samia na serikali yake kajenga miradi mbalimbali kila Kona ya nchi hii inayoonekana na kuwanufaisha watanzania,Nani asiyeona vituo mbalimbali vya Afya hapa nchini ,Nani asiyeona vyumba vya madarasa vikipendeza,Nani asiyeona hayo? Kwani hayo yanamhitaji kamati? Kwani watanzania Ni vipofu Hadi wasione?
Nani asiyefahamu juhudi za mh Rais kuwasaidia na kuwainua kiuchumi wakulima? Nani hafahamu juu ya utolewaji wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea iliyopelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu?
Nani hafahamu namna mh Rais alivyowabebea mzigo wa gharama za maisha kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei kwa bidhà a mbalimbali? Au hujuwi mafuta Ni injini ya uchumi?
Mtanzania yupi hatambui kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na mh Rais katika kuvutia wawekezaji,watalii pamoja na wafanyabiashara hasa baada ya wazo lake la kuitangaza nchi yetu na vivutio vyake kupitia Royal Tour?
Rais Samia Ni chaguo la watanzania Kuendelea kututumikia na kuwaongoza katika muhula wa pili,ndio kiu Yao Watanzania na kwa sauti za pamoja watanzania wameamua kwenda na Rais Samia na kuiomba kwa magoti na unyenyekevu CCM iwaletee mama Samia Uchaguzi Ujao.
Katika Uongozi Wa Rais Samia huwezi ukabaki salama wala kusalimika ukibainika Kuchezea pesa za umma,huwezi ukapona Wala kupata njia ya kuukwep mkono wa Sheria ,Ni lazima ukione Cha Moto,Ni lazima upitishwe njia ya majonzi,maumivu, uchungu na majuto kisheria. Rais Samia Hana Subira katika Hilo la mtu yeyote yule juu ya pesa za umma
Uongo sana huoWadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Wanampongeza kwa kazi gani aliyofanya; ya kushangilia uhujumu wa mashirika ya umma?Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Ana roho ya kujinyima inamtesa. Kifo cha Yesu ni kwamba Yuda alipokea pesa za watu ndio akaweza kukamatwa na kuuawa.Ndio jinsi pesa inavyoingia kwenye mzunguko hivyo 😃 wataalam wa uchumi wanasema inaleta kitu inaitwa multiplier effect
Kaleta umbeya kama alivyoupokea huko mtaani.Kwanza jifunze kuandika vizuri kiswahili, pili huyo "mtu wa juu serikalini aliye takukuru" alikuwa anakueleza ili iweje ? Je angekwambia ilitumika bil 300 ? Tatu, azimio la kumpongeza Samia ni la bunge, tangu lini bunge likatumia bil 80 kwa siku ?
Ahahahahaha!!By Msukuma
Hebu njoo na source ya habari hii ili tuijadili.sh Billion 80Tz.
Hizi hesabu za billioni 80 umezotoa wapi..unaijua billion 80 mkuu?Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Rule number 1 "Usilitaje bure jina la CHATO"Mbona huhoji bajeti ya ujenzi wa CHATO
Well said!Umekalia majungu tu, unahisi kila mahali ni vijiwe vya kahawa. Ukiambiwa utoe ushahidi wa hiyo bilioni 80 utaweza?
Eti mtu mkubwa takukuru, unahisi kila mtu pimbi umdanganye kindezi
Fanya kazi acha ujinga
Takukuru wanasemaje?Wadau katika kuongea na mdau serikalini ngazi za juu kanitonya kuwa gharama iliyotumia katika kampeni ya kumpongeza Samia inakadiliww kufikia sh Billion 80Tz. Hizi ni Gharama za posho za vikao vya kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya serikali na chama Kwenye kata, wilaya, mkoa na Taifa.
Gharama za vyombo vya habari, machapisho, mabango etc. Huyu mtu Yuko ofisi ya TAKUKURU. Kanitonya hivyo ni kwa mjibu wa riport walizozikusanya na bado wanaendele kuzifanyia KAZI.
Kwa kifupi kila sherehe unayoona ni upigaji ndo agenda iliyo nyuma yake. Je, ni fair kutumia billion 80 Kwenye sherehe ya kumpongeza wakati shule za msingi hazina hata vyoo vya maana?
Kama hivyo ndivyo, wangekopesha basi, zizungurushwe, zilipwe, zikopeshwe tena na tena.Ndio jinsi pesa inavyoingia kwenye mzunguko hivyo [emoji2] wataalam wa uchumi wanasema inaleta kitu inaitwa multiplier effect
Mkuu hujui ziara za chama huwa zinagaramiwa na serekali alafu kwenye report tunasingiziaga matumizi yasiokuwepo![emoji1][emoji1]Kwani ile ni kampeni ya Serikali? Inatoka bajeti gani?