Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

Kampeni ya Kumshawishi Rais Magufuli Ajiunge JF

Mtu mwenye uwezo mkubwa wa kukariri, kusoma na kuweka kumbukumbu kama JPM hawezi kukosa humu ninachotamani ni yeye kuingia kwa jina lake halisi na akaanzisha uzi wa :KATIKA UTAWALA WA AWAMU HII NINI UNGEPENDA NIFANYE, hapa angepata mawazo sahihi yasiyo ya woga
Ok
 
Nikuulize wazazi wako na huyu nani unamheshimu zaidi

Ha ha ha haaaa

Jisikitikie kabisaaaaaaaaaaaaaaaa kwanza

Halafu wite nyie ni wale wale msioipenda awamu ya tano.

Anzeni kuwaomba Mbowe na Lowassa wafanye hayo kwanza tuwaone nao humu😀😀😀
 
Hii thread hii! Mh, aya ngoja tuone,,,,,,
 
Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum

Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.

Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.

Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli

Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole

0c92947f29c6d6ee1debb18056af919a.jpg
Wala asije,nani anataka kesi za kutakatisha fedha au uhujumi uchumi?
 
hata hapa nawasikia..au mnataka niwe verified ili mnitupie matusi afu kesho niwekwe font fed kwenye Mwananchi.
Nb watch it out hata kama kuna Uhuru wa kutoa maoni ila not to that extent
 
hata hapa nawasikia..au mnataka niwe verified ili mnitupie matusi afu kesho niwekwe font fed kwenye Mwananchi.
Nb watch it out hata kama kuna Uhuru wa kutoa maoni ila not to that extent
Labda wanataka kukuomba ukuu wa Mkoa na wilaya.
 
Ha ha ha haaaa

Jisikitikie kabisaaaaaaaaaaaaaaaa kwanza

Halafu wite nyie ni wale wale msioipenda awamu ya tano.

Anzeni kuwaomba Mbowe na Lowassa wafanye hayo kwanza tuwaone nao humu😀😀😀
Kama siipendi nina sababu, it is not from nowhere. Nawewe unaona lakini kwa vile unanufaika na uonevu/ukatili/udikiteita/kupoteza watu huu unafumba macho ili mkono uende kinywani
 
Bwana mkubwa ni member humu na huenda akiamka asubuhi anaamkia kwanza humu kabla ya kusoma gazeti la Uhuru au Tanzania Daima. Kama anaweza kuangalia kipindi choooote cha SHILAWADU cha Mawingu na kuwapigia simu, hawezi kukosa kupitiapitia ''ushilawadu'' wa MMU.
 
Ha ha ha haaaa

Jisikitikie kabisaaaaaaaaaaaaaaaa kwanza

Halafu wite nyie ni wale wale msioipenda awamu ya tano.

Anzeni kuwaomba Mbowe na Lowassa wafanye hayo kwanza tuwaone nao humu😀😀😀
Le mutuz
 
Wana Jukwaa, sasa tuanzishe kampeni ya kuhakikisha Rais wetu JPM anakuwa verified member humu Jamii forum

Haiwezekani Rais atumie mtandao wa Twitter pekee wakati kuna mtandao wa kizalendo ambao ndio Mtandao unaokusanya kero na matatizo ya watanzania.

Hivyo popote Msaidizi wa Rais, au uliyekaribu na Rais tunakuomba umweleze Mh Rais kwamba Wana Great Thinker wanamhitaji humu, na humu ndio sehemu pekee tunaweza tukadiscuss mambo yetu.

Karibu Mh Rais Dr. John Magufuli

Cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Paul Makonda hk kigwangala, Msigwa, Rithiwan Kikwete, Humphrey Polepole

0c92947f29c6d6ee1debb18056af919a.jpg
Mkuu unauhakika kuwa humu hayupo?ngoja ninyamaze nisiongee mengine humu sio ya kuongea
 
Back
Top Bottom