Mbona unamsema meko kiaina,habari za kumwomba lissu ajitoe kwenye uchaguzi mwaka huu hamna.Ukiona mpinzani wako anasikitika vile unavyoendesha mambo yako hadi kufikia hatua ya kukushauri cha kufanya ili ushinde wewe jua tuu ni ulishamshinda, yaani wewe ni mshindi
Hongera kwao CCM
Wanafikiri kutaja asilimia wanazotamani ndio utafiti.kwani wewe umefanya utafiti gani hadi hadi kuja na hitimisho hilo?
Gari la mkaa trip moja porini, Siku nne gereji.Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Kwa msaada wa watu wa marekaniKama wananchi hatupo tayari kujitoa ku claim ushindi wetu hakuna msaada wowote utakaoletwa
Sent using Jamii Forums mobile app
UN yasikitishwa na 'ukandamizwaji wa demokrasia,haki za binadamu' Tanzania - BBC News SwahiliHata mimi ningepumzika, hakuna upinzani siyo kama 2015, hata foreign media tu hazitangazi chochote na hakuna anayejua hata kama Tanzania kuna uchaguzi mwezi huu hata hapo Kenya tu hawajui, ...
Tinakushukuru kwa Ushauri wako, tutauchuja na tutaufikiriaKwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Hivi Magufuli na Lissu nani mgonjwa hata kwa kuangalia kwa machoHe is sick and tired, hawezi vurugu za kampeni, ndio maana Waziri Mkuu anavunja sheria za uchaguzi makusudi ili kuokoa jahazi, sheria kwenye kampeni anatakiwa mgombea na mgombea mwenza pekee.
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Tanzania suspends opposition leader's election campaignHata foreign media hazitangazi chochote siyo kama 2015, ...
Pace maker haitaki magu atumie chopper ?Afya mgogoro pace maker ina masharti yake
Mpumbavu mkubwa wewe, hizo asilimia 90 imezitoa kwenye mattercore yakoAcha upumbavu wewe kama huna masikio basi hata macho huna utafiti gani umefanya wewe sijui uko dunia gani watu watakucheka ccm hadi sasa ushindi ni asilimia 90 na zaidi watanzania wote wanaelewa hivyo.
Ni kweli kakufanyia makubwa mno, kama asaiv amekujengea kiwanda mnazalisha Bia Yenu na yeye ni Pombe ni mambo makubwa sana..Rais Magufuli hata asipofanya kampeni ushindi ni 98%
Ameifanyia Tanzania makubwa
Amuachie nafasi mama samia , tupambane naeSasa kama kabureta inasumbua atafanyaje?
Magufuli anaumwa, kama unabisha, mwambie apige tena push ups kama alivyofanya 2015Hivi Magufuli na Lissu nani mgonjwa hata kwa kuangalia kwa macho