Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
Kama bado unamwamini huyu basi utakuwa unamatatizo kwenye akili zako!
Hivi ukitoa maneno yoote hapo uloandika ukabakiza "msaliti Lisu", ukiambiwa elezea utaandika usaliti wake nini au umekariri tu!?Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
Alifanye vile kumdhihaki lowasa kwa ugonjwa wake leo na yeye ana matatizo yakeAnapumzika kwa sababu ndio ushauri aliopewa na daktari, kama anajiamini mwambie apige tena zile "push up" zake uone kama uchaguzi haujaahirishwa.
Ni sawa na wewe unavyomwamini Chakubanga Polepole.Kama bado unamwamini huyu basi utakuwa unamatatizo kwenye akili zako!
Upo sahihi, suala la afya ni la Mwenyezi Mungu, ndio maana hatutakiwi kucheka. Magu alimdhihaki lowasa, na wew unarudia kosa kwa kumdhihaki MaguAlifanye vile kumdhihaki lowasa kwa ugonjwa wake leo na yeye ana matatizo yake
Wala sijamdhihaki wala sitaweza kufanya hivyo kabisaa naogopaUpo sahihi, suala la afya ni la Mwenyezi Mungu, ndio maana hatutakiwi kucheka. Magu alimdhihaki lowasa, na wew unarudia kosa kwa kumdhihaki Magu
Unaishi Tanzania ipi hiyo!!? Endelea kubaki hukohuko ila John Pombe Magufuli ndio kila kitu🤣Umewahi kujiuliza watanzania wanawaonaje wafuasi wa CCM???? Anything rubbish/useless in life = CCM
Magu na yeye amebanwa, tusimcheke, tumuombeeWala sijamdhihaki wala sitaweza kufanya hivyo kabisaa naogopa
Labda huko kwako, huku kwetu ni zero kabisaUnaishi Tanzania ipi hiyo!!? Endelea kubaki hukohuko ila John Pombe Magufuli ndio kila kitu🤣
KabisaaMagu na yeye amebanwa, tusimcheke, tumuombee
hvi hawa jamaa ndo wamekula tenda ya kutengeneza yale makaratasi?
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.
Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.
Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.
Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Sasa kwa akili ya kawaida unategemea ccm watashinda bila kutumia ubavu , mapanga na mitutu ya bunduki ?
Ccm hawakubaliki na kila nwananchi mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.
Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.
Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.
Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani
Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Jamana ..Printers
Sasa msaliti wa nchi kivipiAtakayelia ni yule mropkaji na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Mambo ya kula rambirambi ndo mnayaelewaUnaishi Tanzania ipi hiyo!!? Endelea kubaki hukohuko ila John Pombe Magufuli ndio kila kitu🤣