Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
Screenshot_20201010-233732.png
 
Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
Hivi ukitoa maneno yoote hapo uloandika ukabakiza "msaliti Lisu", ukiambiwa elezea utaandika usaliti wake nini au umekariri tu!?

Sent from my Redmi Y1 using JamiiForums mobile app
 
Polepole na bashiru wameuiwa ccm si Wana ccm wamefata maslai thus utoa mawazo mfu yasiyotija kwa chama.
1.Kununua wanaopigiwa kura badala ya wapiga kura.
2.Kuzuia bunge live
3.Kuuwa upinzani kwa kutumia polisi
4.Kununua bongofleva ili kujaza watu mikutano.
Awajui chochote kuhusu siasa.
 
Umewahi kujiuliza watanzania wanawaonaje wafuasi wa CCM???? Anything rubbish/useless in life = CCM
Unaishi Tanzania ipi hiyo!!? Endelea kubaki hukohuko ila John Pombe Magufuli ndio kila kitu🤣
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani

Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Sasa kwa akili ya kawaida unategemea ccm watashinda bila kutumia ubavu , mapanga na mitutu ya bunduki ?

Ccm hawakubaliki na kila nwananchi mzalendo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania igekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia lissu ana Connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani

Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.

Sikujua kuwa wafuasi wa Lissu na upinzani kwa ujumla wao, humu JF kwa lugha yako, hamna uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini.

Mwaweza kuniita mfuasi wa CCM lakini ukweli ubaki ukweli kuwa hicho chama, Uchaguzi Mkuu, mwaka huu, kinaendrsha kampeni kisiasa. Viongozi waandamizi, wenye kuheshimika kitaifa (Mzee Pinda, Mama Samia na Majaliwa) wamekuwa na wanaendelea kuzunguka Tanzania yote wakifanya kampeni kwa ajili ya CCM.

Niwakumbushe kuwa Uchaguzi, katika mfumo wa vyama vingi vya siasa, kampeni siyo ya mgombea dhidi ya mgombea, bali vyama kwa vyama, kunadi Sera. Kampeni za mgombea kwa mgombea huishia kwenye kura za maoni kutafuta wa kuteuliwa na chama.

Kwa kuwa hamjui hilo ndiyo maana bandiko na mijadala yenu ni VIOJA badala ya hoja.
 
Back
Top Bottom