Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Wamfiche tu maana tutampopoa tumvunje na kiuno. Tukikumbuka mambo yake ya miga tu hasira zinajaa.
 
Mmesha feli mnaamua kuja kumtumia mtuhumiwa eti agombee Urais Yani sis tuongozwe na vibaka
uzuri habari za TL kupigwa risasi zilisambaa hadi vijijini kbs ndani ndani hakuna mwananchi asiyejua...hii ni kete muhimu kuitumia wakati wa uchaguzi kuwaeleza wananchi ukatili wa serikali awamu ya 5 pale inapokosolewa.

na kuonesha kwamba kuna wakuu wanahusika kwenye hili hakuna yeyote angalau mshukiwa aliyekamatwa

hapo kampeni zitanoga, ukiongezea na ukali wa maisha kitaeleweka tu
 
NI AJENDA NZURI YA KUPINGA MAUWAJI ,LEO YEYE KESHO KWANGU AU KWA MWINGINE
 
Hapo unacheka nini mpaka basi? Tumeccm inachakachua chaguzi zote hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaichagua CCM bali Tumeccm ndiyo huchagulia watanzania, Spika kapiga bilion 12 india hamjamshitaki sembuse kuvunja katiba kwa kuwavua ubunge wabunge wa CUF lakini wa chadema kajitoa fahamu kawaachia wapo Bungeni, Uthibitisho kuwa wewe ndiyo ulimpiga risasi Tundu lisu ni zile cctv Camera na walinzi wa getini uliokaa nao hapo kwako, kutumia kidonda kwenye kampeni inakuuma nini kama ulijua kidonda kitazungumziwa kwa nini ulitoka Dsm kwenda kumpiga risasi? Ulitamani Tundu lisu afe ufurahi maana inaonekana amekukosesha usingizi, mtukufu magufuli ataonyesha maendeleo siyo? Hayo maendeleo anayaleta kwa pesa zake binafsi toka mfukoni? au ni pesa za walipa kodi? Walipa kodi ni watanzania wote tena CCM siyo walipa kodi wazuri, pesa inatokana na wananchi wote na maendeleo ni haki ya watanzania siyo Hisani za CCM, watanzania siyo wajinga wanajua kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa mapungufu yake na kuhimiza maendeleo yote ni sehemu ya wapinzani bila wao CCM wangekula pesa zote na kusingekuwa na haya maendeleo kidogo kidogo unayodai, Nchi ina miaka zaidi ya 50 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, mda huu kama siyo CCM kudumaza maendeleo pengine Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa na mataifa ya ulaya America, pesa zinatumika kuudhofisha chadema kuanzia kuwanunua wabunge madiwani wanachama kuwabambikia kesi na uonevu mwingi ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga daraja toka mwanza mpaka ukerewe na darasa toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba na kujenga viwanda kila wilaya Tanzania.
 
Mbona mnaanza kujinyea nyea, subirini muone tutakavyowakimbiza. Nyie akili yenu iko hapa :-
 
Miaka 50 Nchi haina maendeleo pesa za maendeleo pesa za viwanda zinatumika kuwabambikia kesi kuwanunua wapinzani, madalali wa siasa wanajali 10% kwenye ununuzi wa wabunge madiwani hawajali shida za watanzania.
 
Muandae majibu ya haya.
Tatizo la ajira
Wasiojulikana
Nyongeza ya mishahara
Usomeshwaji watu namba
Ccm imeshindwa kupambana /inawaogopa mafisadi
Korosho
Umoja wa kitaifa
Kuongezeka kwa umasikini

Tegemeo kuu la ccm ni
SGR
Bwawa
Ndege
Hivi havijakamilika ili wananchi waione tija
 
Usirudie tens kuandika upuuzi
 

Bogus Mzalendo fake!
Wewe ni pimbi kweli eti mtu auwe kupoteza kupiga marisasi wanao kisa anakujengea mijumba, una akili kweli??
Ukilikoroga lazima ulinywe, SA makaburu waliindeleza mfano hakuna lakini watu ANC walidai na kupigania uhuru!!
So plse don't panick freedom is coming!!
 
Wamfiche tu maana tutampopoa tumvunje na kiuno. Tukikumbuka mambo yake ya miga tu hasira zinajaa.
Utakufa wewe kabla Lisu hajarejea Tanzania hizo dua zako za kishetani ndizo zitakumaliza
 
Bwawa la umeme ununuzi Ndege kwa cash kuna ufisadi mwingi kampeni zikianza utasikia kila kitu kilivyokwenda
 
Mbona tunajua wewe ata kazi umekosa kabisa...
Jena shemeji kakuachia elfu tano mpaka ndiyo unatusumbua nazo.
 
Hivi mleta Mada una tumia kinyeo kufikiri? Unazungumzia Tundu Lisu Mbunge kupigwa risasi na Akwilina kuuwa kuwa sio Agenda ya taifa? Hivi unajua thamani ya uhai wa mtu na Rais huapa kulinda katiba?
 
Lazima Mimi niwe mfano hata wewe huwez kusema watu hawana ajira alafu wewe na Mimi tumeajiriwa
 
Nchi yoyote dunian huwez kuleta watu wa nje waje wafanye Mambo ya kitaifa lini wakikuletea majasus utamadun Nan?
Kwa nini serikali ilikataa vyombo vya nje kufanya uchunguzi...ficheni upumbavu wenu hata wageni wanasoma hizi nyunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…