mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
- Thread starter
-
- #41
uzuri habari za TL kupigwa risasi zilisambaa hadi vijijini kbs ndani ndani hakuna mwananchi asiyejua...hii ni kete muhimu kuitumia wakati wa uchaguzi kuwaeleza wananchi ukatili wa serikali awamu ya 5 pale inapokosolewa.
na kuonesha kwamba kuna wakuu wanahusika kwenye hili hakuna yeyote angalau mshukiwa aliyekamatwa
hapo kampeni zitanoga, ukiongezea na ukali wa maisha kitaeleweka tu
Vyovyote vile subiri saa ifike,kama jiwe hajapotezwa jukwaaniHahahah eti Wana ajenda ipi io ya kususia Bunge
Ajenda ni nyingi sana mojawapo ni ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
Bogus Mzalendo fake!
Wewe ni pimbi kweli eti mtu auwe kupoteza kupiga marisasi wanao kisa anakujengea mijumba, una akili kweli??
Ukilikoroga lazima ulinywe, SA makaburu waliindeleza mfano hakuna lakini watu ANC walidai na kupigania uhuru!!
So plse don't panick freedom is coming!!
Mbona tunajua wewe ata kazi umekosa kabisa...
Jena shemeji kakuachia elfu tano mpaka ndiyo unatusumbua nazo.
Wapi Ben SaananeMuandae majibu ya haya.
Tatizo la ajira
Wasiojulikana
Nyongeza ya mishahara
Usomeshwaji watu namba
Ccm imeshindwa kupambana /inawaogopa mafisadi
Korosho
Umoja wa kitaifa
Kuongezeka kwa umasikini
Tegemeo kuu la ccm ni
SGR
Bwawa
Ndege
Hivi havijakamilika ili wananchi waione tija
Wako huru mnawawekea sheria kandamizi wakiikosoa serikali mnawateka.Wananch mnao sema wanataka Uhuru wao tayar wamesha jiona wako huru
Wako huru mnawawekea sheria kandamizi wakiikosoa serikali mnawateka.
Ile picha yake iliyosambaa mtandaoni anayoonyesha majeraha ndio inatakiwa Iprintiwe kubwa kabisa isambazwe kila mkoa, wilaya, tarafa kata, vijiji na vitongoji.Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Hapa unawatukana watanzania na kumkufuru Mungu ni sawa na kusema watanzania wote wapumbavu kwakuwa hawawezi kuona maovu ya CCM hivyo hawawezi kuikosoa.Hamna mwananch hata mmoja wa kawaida ambae anaweza kuikosoa serekal ya ccm
Mnalipwa nn kila mnapoandika ujinga ?Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Haya Wala sio Mambo ya kujisifu kwasababu kwanza mmeichelewesha nchi yetu kwa miaka 50+ ya Uhuru mnajisifu kujenga vituo vya afya Leo wakati nyie ndio mmekuwepo toka Uhuru kifupi CCM ndio kikwazo Cha maendeleo hayo uliyoyaorodhesha tulitakiwa tuwe nayo toka 1985-90Ile picha yake iliyosambaa mtandaoni anayoonyesha majeraha ndio inatakiwa Iprintiwe kubwa kabisa isambazwe kila mkoa, wilaya, tarafa kata, vijiji na vitongoji.
Isitoshe iwe kwenye vipeperushi na ratiba za my kutano.
On the contrary CCM wanaonyesha picha za;
1. Ndege boing na Bombadier 9
2. Uwanja wa Ndege JNIA Terminal 2 na 3
3. Mwendokazi phase 2 mbagala
4. Meli za Mwanza
5. Upanuzi wa Bandati ya Dar es Salaam
6. SGR
7. Stigler Gourge
8. Kudhibiti uwindaji haram wa wanyama
9. Ujenzi wa vituo vya afya
10. Mfumo wa Elimu bila malipo kuanzia darasa la kwanza hadi firm IV
List ni ndefu kwa kweli
Just put them in ignore listBiggest piece of crap I've ever seen!!!
Ccm hawawezi jibu hoja za wananchi tunawasubiria October,Wapi Ben Saanane
Nani walimpiga lisu risasi
Wapi Azory
Helsb
Uonevu
natabili mpaka iyo October wapo watu watakua wanatembea peke yao wakiongea ChademaDah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
agenda za sisiem ni KUMPIGA RISASI NA KUMFANYA KILEMA?
Ebu eleweka, wananchi wakiuliza michango ya wabunge ILIYOLIWA iko wapi? Hilo swali au jibu? Labda waulize aliyekula alichukua hatua gani? Hili ndo linaweza kuwa swali.Wanachi wakiuliza ile michango ya wabunge iliyoliwa iko wapi? Watajibu nini?
Kwani wewe unaamini TL atagombea urais? Chadema wanatapata hawana mgombea urais hakuna atakaye kubali kuaibika labda agombee dizaini yule mwanamama aliyetia Nia ili tu atambulike kwamba nae yupo.Mmesha feli mnaamua kuja kumtumia mtuhumiwa eti agombee Urais Yani sis tuongozwe na vibaka