Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu CHADEMA itakuwa vituko. Eti ajenda yao Tundu Lissu kapigwa risasi

Sio ujinga wa kumezea b8 bila kujal [emoji1787][emoji1787]
Angalia mlivyo wajinga,huyo Mbowe mnavomuogopa angekula hizo pesa angekua mtaani sahivi?achana na siasa za pccb wanazotaka kufanya,mlimfunga kwa kesi ya kusingizia kumuua akwilina mmeshindwa Nini kumfungulia mashitaka kwa hili la kisiasa mnaloliunda?.ccm mnakitete...tulieni vzr.
 
Hivi, CCM tunamtapeli na kumlaghai nani kuhusu kuichukia rushwa uchaguzini?
Thread starterVUTA-NKUVUTE Start dateToday at 10:20 AM
Tags ccm rushwa
 
Sisi agenda yetu itakuwa ni kuimaliza COVID-19 kwa nyugu...watu walitubishia ila wamekubali...cha kifanya sasa ni kuwashirikisha WHO ili nyugu hizi ziwafikie wa Ulaya, Marekani na Asia.

Nyungu tunaingia nayo 2020 kuiombea kura kwa wananchi.
 
agenda kuu kuamsha watanzania kuachana na ulaghai wa ccm
 
Makada sijui tunakwama wapi? Yaani tupo mstari wa mbele kuitaja CHADEMA na kuandika CHADEMA kuliko CCM.Yaani headlines kwenye Jukwaa ili zaidi ya 10 niza CHADEMA zikiwa zimeandikwa na makada alafu za CCM ni nne ambazo zimeandikwa na makda lakini ata hizo nne aziongelei lolote kuhusu mafanikio au changamoto za awamu ya tano. Tunaendelea kuijenga CHADEMA kuliko CCM.
 
Mtoa mada una uwezo mdogo sana wa kujenga hoja. Yaani upo chini sana. Nakushairi usijisumbue tena kufanya hivi. Unajiaibisha wewe na familia yako na kukiathiri Chama chaji. Buk 7 huwezi pewa kwa upupu huu
 
Kwa taarifa yako sio hilo tu!tutaongezea kuwa jiwe ni mzinzi kazaa na mke wa balozi wa huko mashariki ya mbali!!!
 


Mwenyezi Mungu akujalie ili nawe uishi uje ushuhudie ndugu yako wa karibu akipigwa risasi zaidi ya thelathini!
 
Yaan km waliomaliza vyuo,vyeti feki,watumishi na wengineo km watachagua sisiemu basi tz tuendelee kubuluzwa hadi kufa kwetu maana ni ujinga tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…