Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi huu zimetufundisha mengi kuhusu CCM, hata wakishinda uchaguzi kwa hila siku zao madarakani si nyingi

Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi huu zimetufundisha mengi kuhusu CCM, hata wakishinda uchaguzi kwa hila siku zao madarakani si nyingi

Mimi nakwambia uhalisia jinsi ulivyo, wananchi kuwa hasira hilo linajulikana Dunia nzima kuna Wananchi wana hasira, lkn kuwa na hasira na kufanya Mapinduzi ni vitu viwili tofauti, Wananchi kama wananchi wanahitaji Kiongozi ili waweze kufanya chochote, na kufanya chochote unahitaji mkwanja, hakuna atajayeingia barabarani huku tumbo ni tupu watoto hawajakula nyumbani, utamwambia machinga au boda boda aingie barabarani bila ya kumpa hela atakuelewa?
Waliomtoa Gaddafi madarakani walikuwa ni wale waliopoteza Baba, kaka, mjomba nk kwacwasio julikana.
 
Oooh Iam laughing and making loud noise

Tutashinda ccm...
Bro acha kupanic,hampendwi tena hata mkijitahidi vipi mmeumiza na kuua wengi,niambie familia kama ya Alphonce Mawazo,Ben ,Azory nk.mtajitahidi Vipi kuingia mioyoni mwao mkuu.

Alafu mkuu chama chenu ni cha mapinduzi, sio cha maendeleo wala nini. Fikra zenu ni kuumiza watu tu.ndo maaana ya mapinduzi.
 
NATO walijuaje matatizo ya Walibya?

NATO hawamkutoa na kumuua Gadafi sababu ya ,,matatizo ya Walibya'' kama ingekuwa wangewatoa na hawa wa sasa hivi pia kwani wanaumia zaidi ya hapo awali, ...
 
CCM hawawezi siasa za ushindani, wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia...
Pole jiandae kumpokea Bwana yako Lissu anaondoka huku tarehe 18/12/2020 kurudi huko kwao Ubelgiji kwa mabwana zake. Watz wamemkataa katakata!!
 
Kama ni ushindi basi utakuwa ni ushindi haramu ambao unaweza kuhusisha umwagaji mkubwa sana wa damu ambao unaweza kusababisha vifo vingi. Hilo likitokea Watanzania tunaojitambua na Jumuiya ya Kimataifa tutamshinikiza huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kwa mauaji ya kutisha aliyoyafanya hastahili kubaki madarakani. Serikali ya maridhiano itastahili kuundwa ambayo itasimamia upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi.
Nakuhakikishia hilo halitotokea nchi hii. Hiyo njama imeshasanuliwa mapema. CCM itapita. Mambo madogo madogo tutayarekebisha. Mzigo mzito mpeni Magufuli. Mabadiliko ya kweli yanaanzia kwa ndani kamwe sio nje ya CCM.
 
Yule mental case anadai kuwa akichaguliwa kuwa Rais ataongeza mishahara ya wafanyakazi,yaani hakumbuki kuwa hata mwaka 2015 aliahidi pia![emoji1787]Halafu alisikia Tundu Lissu akinadi sera yao ya bima ya afya kwa kila mtu na yeye akaidandia kama zuzu vile wakati kwenye ilani yao hata haipo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaahahha
 
Mzee Kingugwe aliona mbali sana, Magufuli ni mtekelezaji wa mipango ya boss lakini si mwanasiasa.

Ulitaka mtu awe muongo ndio awe Mwanasiasa ? Wale waongo ndio wanasiasaa wazuri? Kila utawala ni kama zama , kila zama ina kitabu chake. Binadamu hatuko homogeneous, uelewe hivyo.
 
MAUAJI tangu lini yakawa mambo madogo madogo!? Au ndiyo yale ya wahenga ya mkuki kwa nguruwe? Mpaka kufikia kuleta mamluki kutoka Burundi kuja kuumiza watu kisa kung’ang’ania madarakani tu!? 😳
Nakuhakikishia hilo halitotokea nchi hii. Hiyo njama imeshasanuliwa mapema. CCM itapita. Mambo madogo madogo tutayarekebisha. Mzigo mzito mpeni Magufuli. Mabadiliko ya kweli yanaanzia kwa ndani kamwe sio nje ya CCM.
 
Kama ni ushindi basi utakuwa ni ushindi haramu ambao unaweza kuhusisha umwagaji mkubwa sana wa damu ambao unaweza kusababisha vifo vingi. Hilo likitokea Watanzania tunaojitambua na Jumuiya ya Kimataifa tutamshinikiza huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kwa mauaji ya kutisha aliyoyafanya hastahili kubaki madarakani. Serikali ya maridhiano itastahili kuundwa ambayo itasimamia upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi.
Watz siyo wajinga kiasi hicho eti wafe kwa ajili ya kibaraka wa mabeberu ambaye tarehe 18/12/2020 anarudi kwa mabwana zake Ubelgiji pia kwa propaganda za kina BAK wanaobeba mabox huko kwa mabeberu??!
 
Acheni kujidanganya, hakuna Mwananchi anayeweza kuamua chochote, Mapinduzi yote Dunaini yana Viongozi nyuma yake, Wanananchi kama Wananchi hawajawahi kufanya Mapinduzi popote pale tangia Binadamu aanze kuishi Dunia hii, na chadema &Co. wanapenda kufanya Mapinduzi lkn hawana huo uwezo, kama wangekuwa nao wangeshautumia siku nyingi sana, ...
Huu ndio ukweli mchungu.
 
MAUAJI tangu lini yakawa mambo madogo madogo!? Au ndiyo yale ya wahenga ya mkuki kwa nguruwe? Mpaka kufikia kuleta mamluki kutoka Burundi kuja kuumiza watu kisa kung’ang’ania madarakani tu!? 😳
Mpaka sasa hivi kampeni zinaendelea vizuri na Chadema tu ambao bado wanaendelea na kampeni na ni salama salimini sasa wewe hayo mauaji umepanga kuyafanya wapi mkuu??!
 
Haki kwao imekuwa kitu adimu sana. Wanatulazimisha kuwa tunawapenda.

Uchaguzi ulio huru wa haki wala wenye kuaminika haupo...

hahaha hatimae mmeshajua mshindi nan, mnasumbua haki haki wale wabunge mliowafukuza bungeni kipindi cha korona mliwafanyia haki? mnajikuta mnajua kuongea tu haki, hio demokrasia ambayo mtu akitaka kua mwenye kiti cha chama anachomwa moto bado mna kelelel za demokrasia, tuachie nchi ya kijani bana
 
CCM hawawezi siasa za ushindani, Wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia...
Watakuwa wanaongoza watu wanaovuja damu na machoz mioyoni mwao
 
Kwa upinzani huu ndembendembe wa kina Lissu na Membe, mtakaa Sana.
 
Back
Top Bottom