Waliomtoa Gaddafi madarakani walikuwa ni wale waliopoteza Baba, kaka, mjomba nk kwacwasio julikana.Mimi nakwambia uhalisia jinsi ulivyo, wananchi kuwa hasira hilo linajulikana Dunia nzima kuna Wananchi wana hasira, lkn kuwa na hasira na kufanya Mapinduzi ni vitu viwili tofauti, Wananchi kama wananchi wanahitaji Kiongozi ili waweze kufanya chochote, na kufanya chochote unahitaji mkwanja, hakuna atajayeingia barabarani huku tumbo ni tupu watoto hawajakula nyumbani, utamwambia machinga au boda boda aingie barabarani bila ya kumpa hela atakuelewa?
Waliomtoa Gaddafi madarakani walikuwa ni wale waliopoteza Baba, kaka, mjomba nk kwacwasio julikana.
Bro acha kupanic,hampendwi tena hata mkijitahidi vipi mmeumiza na kuua wengi,niambie familia kama ya Alphonce Mawazo,Ben ,Azory nk.mtajitahidi Vipi kuingia mioyoni mwao mkuu.Oooh Iam laughing and making loud noise
Tutashinda ccm...
NATO walijuaje matatizo ya Walibya?
Pole jiandae kumpokea Bwana yako Lissu anaondoka huku tarehe 18/12/2020 kurudi huko kwao Ubelgiji kwa mabwana zake. Watz wamemkataa katakata!!CCM hawawezi siasa za ushindani, wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia...
Siyo matatizo ya Walibya bali ni kulipuliwa kwa ndege yao siku za nyuma pamoja na kutaka mafuta ya Libya!NATO walijuaje matatizo ya Walibya?
Nakuhakikishia hilo halitotokea nchi hii. Hiyo njama imeshasanuliwa mapema. CCM itapita. Mambo madogo madogo tutayarekebisha. Mzigo mzito mpeni Magufuli. Mabadiliko ya kweli yanaanzia kwa ndani kamwe sio nje ya CCM.Kama ni ushindi basi utakuwa ni ushindi haramu ambao unaweza kuhusisha umwagaji mkubwa sana wa damu ambao unaweza kusababisha vifo vingi. Hilo likitokea Watanzania tunaojitambua na Jumuiya ya Kimataifa tutamshinikiza huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kwa mauaji ya kutisha aliyoyafanya hastahili kubaki madarakani. Serikali ya maridhiano itastahili kuundwa ambayo itasimamia upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi.
HahaahahhaYule mental case anadai kuwa akichaguliwa kuwa Rais ataongeza mishahara ya wafanyakazi,yaani hakumbuki kuwa hata mwaka 2015 aliahidi pia![emoji1787]Halafu alisikia Tundu Lissu akinadi sera yao ya bima ya afya kwa kila mtu na yeye akaidandia kama zuzu vile wakati kwenye ilani yao hata haipo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee Kingugwe aliona mbali sana, Magufuli ni mtekelezaji wa mipango ya boss lakini si mwanasiasa.
Nakuhakikishia hilo halitotokea nchi hii. Hiyo njama imeshasanuliwa mapema. CCM itapita. Mambo madogo madogo tutayarekebisha. Mzigo mzito mpeni Magufuli. Mabadiliko ya kweli yanaanzia kwa ndani kamwe sio nje ya CCM.
Watz siyo wajinga kiasi hicho eti wafe kwa ajili ya kibaraka wa mabeberu ambaye tarehe 18/12/2020 anarudi kwa mabwana zake Ubelgiji pia kwa propaganda za kina BAK wanaobeba mabox huko kwa mabeberu??!Kama ni ushindi basi utakuwa ni ushindi haramu ambao unaweza kuhusisha umwagaji mkubwa sana wa damu ambao unaweza kusababisha vifo vingi. Hilo likitokea Watanzania tunaojitambua na Jumuiya ya Kimataifa tutamshinikiza huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kwa mauaji ya kutisha aliyoyafanya hastahili kubaki madarakani. Serikali ya maridhiano itastahili kuundwa ambayo itasimamia upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi.
Huu ndio ukweli mchungu.Acheni kujidanganya, hakuna Mwananchi anayeweza kuamua chochote, Mapinduzi yote Dunaini yana Viongozi nyuma yake, Wanananchi kama Wananchi hawajawahi kufanya Mapinduzi popote pale tangia Binadamu aanze kuishi Dunia hii, na chadema &Co. wanapenda kufanya Mapinduzi lkn hawana huo uwezo, kama wangekuwa nao wangeshautumia siku nyingi sana, ...
Mpaka sasa hivi kampeni zinaendelea vizuri na Chadema tu ambao bado wanaendelea na kampeni na ni salama salimini sasa wewe hayo mauaji umepanga kuyafanya wapi mkuu??!MAUAJI tangu lini yakawa mambo madogo madogo!? Au ndiyo yale ya wahenga ya mkuki kwa nguruwe? Mpaka kufikia kuleta mamluki kutoka Burundi kuja kuumiza watu kisa kung’ang’ania madarakani tu!? 😳
Haki kwao imekuwa kitu adimu sana. Wanatulazimisha kuwa tunawapenda.
Uchaguzi ulio huru wa haki wala wenye kuaminika haupo...
Mmmh yaani anayeunga mkono ushoga anaweza kuombea taifa kweli??!Maombi Maalum ya kuliombea Taifa
Watakuwa wanaongoza watu wanaovuja damu na machoz mioyoni mwaoCCM hawawezi siasa za ushindani, Wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia...