kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 618
- 1,258
Mwingine aliyemchafua fisadi lowassa huyu hapaSasa nani ni ZWAZWA?
hivi unajijua kuwa wewe ni bendera fuata upepo?
ni dhambi kubwa kwa mwanaume kukosa misimamo,
yaani we unapelekwa pelekwa tu hao matapeli wako.
Zitto sio wa kwanza kufukuzwa,Sawa!!
je mlizingatia HAKI zake kipindi kile mnamfukuza?
Leo mnapojifanya kushirikiana na chama chake huyo huyo mliyemwita MSALITI kipindi cha nyuma mnataka watu tuwaelewe vp?
Kwamba Zitto hakuwa na makosa
Yoyote kipindi kile?
Sasa lini mlijitokeza hadharani kukiri makosa yenu kwake??
So mlimnyima HAKI yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti kwenye chama chenu bila sababu yoyote?
lini huyo mgombea wenu amejitokeza kumuomba Zitto radhi/samahani?
Unafahamu kwamba unapokiri kuwa chama kilifanya makosa kumchukua Lowasa,indirectly unasema Dk slaa na Lipumba walikuwa sahihi kwa misimamo yao kipindi kile?
Sasa kama kweli nyinyi ni waungwana na mnaijua HAKI kwa matendo ,lini mmejitokeza hadharani kuwaomba radhi hao watu??
Halafu leo hii mnajifanya kuimba ONE LOVE, mara sijui HAKI HAKI..
Unaona sasa ulivyokuwa mapepe?
Ipi tofauti kati yenu nyinyi na hao wengine?
Kumbe ni mwanachama toka 2018! Hujui chochote kuhusu msimamo wangu wakati wa ujio wa fisadi lowassa Chadema ila unadai ni mfuata upepo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha KUKURUPUKA na kuandika UJUHA kwa yale yaliyojiri miaka ambayo hukuwepo hapa. Mimi ba fisadi lowassa wapi na wapi!!! [emoji15][emoji15][emoji15]
Chadema haihitaji wasanii watu wanakwenda kusikiliza madini.Wewe unaingia vitani alafu unamchagulia adui yako silaha za vita, eti ccm inatumia wasanii kujaza watu ktk mikutano yao , Chadema kimewashinda nn kutumia hao wasanii
Hahahahaha una UFINYU mkubwa sana wa akili wewe. Hivi wapi ambapo niliwahi kusupport ujio wa fisadi lowassa taahira wewe?
Ni MPUUZI TU anayeweza kuandika upuuzi huu ulioandika ningekuwa nafuata upepo kama MPUUZI wewe basi nisingepinga fisadi lowassa kukaribishwa Chadema.
Wewe una msimamo kwa kumuunga mkono huyo anayejiita MWENDAWAZIMU na anadhalilisha kina mama?
Toa UPUMBAVU wako hapa!
Sasa wewe hapa unaongea nini?
Matusi hayajawahi kuwa substitute ya nguvu ya hoja na hayatakaa yawe!
Kumbe ni mwanachama toka 2018! Hujui chochote kuhusu msimamo wangu wakati wa ujio wa fisadi lowassa Chadema ila unadai ni mfuata upepo 😂😂😂😂😂😂
Acha KUKURUPUKA na kuandika UJUHA kwa yale yaliyojiri miaka ambayo hukuwepo hapa. Mimi ba fisadi lowassa wapi na wapi!!! 😳😳😳
Maisha ya siasa ni kama maisha ndoa, kama umeolewa au umeoa utanielewa.Hebu tuambie ni haki gani unayoizungumzia wewe leo hii?
Haki ya kumfukuza Zitto Kabwe kwenye chama kwa majina yote mabaya na huyo mgombea wenu akiwa magari wa mbele kwenye kuhakikisha hilo??lakini leo hii Zitto kwenu anafaa sababu tu anatimiza matakwa yenu,hivi ni nani mbinafsi hapo??
Haki ya kumchafua na kumtukana Lowasa kwa miaka kibao then ghafla bin vuu kwa tamaa zenu za madaraka mkataka, awe Rais kupitia chama chenu,na wale wote waliopingana na nyinyi kwenye hilo wanageuka kuwa wabaya wengi akiwemo Dk slaa
Si kwa tz hii. Uoga na unafiki umezidi.ni kweli ccm imechokwa lakini kutoka madarakani labda kije kizazi kingine si hikiHaki kwao imekuwa kitu adimu sana. Wanatulazimisha kuwa tunawapenda.
Uchaguzi ulio huru wa haki wala wenye kuaminika haupo.
1. Tutajihimu vituoni.
2. Hakuna kura hadi tujiridhishe kuwa mawakala wetu wapo kamili gado.
3. Tutapiga kura.
4. Tukimaliza kupiga kura hatuondoki.
5. Matokeo mtatutangazia vituoni.
Walizoea kupiga? Sawa. Karibuni. JKNIA mlipenda twende?
Basi JKNIA kwa hili ilikuwa cha mtoto.
Naona mnaweka wazi mipango yenu baada ya kushindwa uchaguzi. Tulieni mnyolewe kwa wembe mpya. Hii ndiyo CCM bhana.Kama ni ushindi basi utakuwa ni ushindi haramu ambao unaweza kuhusisha umwagaji mkubwa sana wa damu ambao unaweza kusababisha vifo vingi. Hilo likitokea Watanzania tunaojitambua na Jumuiya ya Kimataifa tutamshinikiza huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kwa mauaji ya kutisha aliyoyafanya hastahili kubaki madarakani. Serikali ya maridhiano itastahili kuundwa ambayo itasimamia upatikanaji wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi.
Naona mnaweka wazi mipango yenu baada ya kushindwa uchaguzi. Tulieni mnyolewe kwa wembe mpya. Hii ndiyo CCM bhana.
Si kwa tz hii. Uoga na unafiki umezidi.ni kweli ccm imechokwa lakini kutoka madarakani labda kije kizazi kingine si hiki
CCM hawawezi siasa za ushindani, Wanachojua ni kutawala kwa mabavu. Kama CCM wangekua ni watawala wema, wangesikiliza matakwa ya wananchi kupitia uongozi wa mashina mpaka wabunge. Kinacho wasaidia CCM ni woga wa raia.
Kampeni za CCM zilizohudhuriwa na wanafunzi na wafanya kazi wa serikali kwa lazima. Pia kutumia wasanii kujaza nyomi viwanjani. Mjitafakari.
Ni wazi kuwa CCM itatumia hila nyingi kupita uchaguzi huu. Hata mkirudi madarakani tena, mtatumia nguvu kubwa kuwatuliza wananchi wenye hasira, wasio na woga tena. Wananchi wanaweza kuamua chochote saa yeyote ile.
Hivi ni kwanini tulazimishane!
Mzee Kingugwe aliona mbali sana, Magufuli ni mtekelezaji wa mipango ya boss lakini si mwanasiasa.