Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Morogoro sijui wana shida gani vichwani, kutwa kucha wanaikumbatia liccm wakati hakuna maendeleo yoyote yaliyofanywa na hilo liccm.
Barabara inayoanzia Kidatu kwenda Ifakara tangu wameahidi itakuwa ya lami inaelekea miaka minne sasa, wanasuasua tu ila miwananchi ya huko ilivyo ya ovyo itakwambia tuna imani na Profesa Magufuli.
Hilo tatizo usilaumu Morogora tuu hata huku Kilimanjaro upepo imebadilika, haya ndio maneno ya kweli vinginevyo ni uwongo.
Tundu Lissu upepo wake haujavuma saana huku, ngoma inayochezwa ni ya Magufuli tuu kwa wabunge vile hali sio swari. Mimi mtanichukia sana lakini ndio nawaambia ukweli wengine hawataki kusema kweli.
MRUDI IFANYWE KAMPENI YA KWELI NYUMBA INAUNGUA. TUMETAFUTA MILLION 7 MWANGA , IMEKUWA SHIDA NA HAIJAFIKA AU KUTIMIA. TUMETAFUTA MILION 9 USWAA MACHAME MPAKA SASA HIVI HAIJATIMIA WATU WAMEKUWA WAGUMU MNNO. UCHAGUZI MGUMU MNOOO.