Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Nendeni Sheikh Amri Abeid. Wapotezeeni hao vibaraka wa mabeberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipya ni kupitishwa kwa wagombea walioshindana kwa rushwa kwenye KURA za maoni kinyume na kauli za mwenyekitiKuna lipi jipya zaidi ya kuwa anaishi kwa damu ya wakenya!
Hawezi kutuma picha huyo.Tuombe picha sasa za kutosha za eneo la tukio
Humu ndani kuna vichaa wengi hakuna haja ya kujibishana, wanajua fika ushindi upo kwa CCM ila wanachofanya ni kushubaza shingo.Ass!! Come back home and vote!! Don't only make noises from mafichoni country!
Picha kamanda,Tunakushukuru kwa kuchungulia kidogo mkutano wa Rais Mtarajiwa
Picha bwasheeeNasikia Mechi imedoda watu wako kwa Chadema hahahaha saaafi sana
Mwambieni Meko aruhusu TV ziwe huru.Ona sasa watu mnapata taabu kupata habariPicha tafadhali makamanda!
Maana Lisu alisema tuwe tunaanza na maandamano
Kunguru wa kike wapi tuliwahi kuaibika?Tusije tuka aibika [emoji2][emoji2][emoji2] tena
Ni mafuriko Arusha
Tulia, tulia, tuliaaaaaaa Leo ni kufru sheikhPicha bwasheee