Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uwanja wa relini Arusha pana amani na utulivu, tunangoja kusikiliza sera halafu tutaamua!

2:05 Jukwaa linafungwa......

View attachment 1554205

View attachment 1554245

View attachment 1554274

View attachment 1554279
IMG_20200831_205821_565.jpg
IMG_20200831_205900_681.jpg
 
Sintoshangaa kusikia Samia Suluhu anacheza Rusha roho huku kajifunga khanga moko ili watu wajazane kumshangaa ili Magufuli afikiri anapendwa yeye
Huenda huyu mama ni Mtani wako, ila huyu mama anajiheshimu sana unamvunjia heshima yake. Ila huo ndio huru unadaiwa na wengi
 
Wewe dokta una reasoning ya ajabu sana. DSM sio Arusha, ndio maana Dsm wamefanya mkutano Segerea, Kawe na Mbagala.

Huwezi kumwambia mtu wa Kawe aende Mbagala kwenye mkutano, logistics haziruhusu, unasema Chadema hawakubaliki wakati watu wanahudhuria mikutano yao kwa mapenzi binafsi, vipi CCM wanaobeba watu kwenye malori kama mbuzi, hao ndio wanakubalika?

Hamuipendi Chadema ila hali halisi inawaumbua.
Kwanza Nilishaawambiwa Kubeba watu no Kampeni Tosha Huwezi kumbeba MTU Asie kukubali Yanini Mimi Leo waje CHADEMA waje na Vogue kunibeba sitakubali Kwa sababu hawanishawishi kwa chochote SO WANAOBEBWA WANAMAPENZI NA CCM NA hakuna ilipokatazwa Pili DAR Nilikuwepi Kampeni za 2015 Kama Unamoyo Wa kusema ukweli Sema je Mwitikio Wa Dar kwenye ufunguzi ni dhahili hakuwa Wa ushawishi kwa chama kama Chadema Pili MSIKATAE MMENDA ARUSHA KUPIGA PICHA JAPO WAFADHILI WAWAELEWE KUWA NA NYIE MPO LEO AFADHALI ILA DAR MIKUTANO ILIKUWA YA KIBUNGE NA SIO PRESIDENTIAL
 
Idadi kwa sasa ni nzuri sema watu wapo pembeni ya uwanja kuna kajua....
CHADEMA bwana eti hadi leo wanashangilia idadi ya watu wanasahau kwamba ni kawaida watu kushangaa miujiza ya mtu aliye pigwa risasi za kutosha na bado yupo hai hivyo wanakwenda kushuhudia mtu huyo

Na kwa taarifa tu katika idadi hiyo ya watu walio kuja kumshangaa LISSU wengi wao sio wapiga kura na hawana sifa za kupiga kura kwa sababu wengi wao hawajajiandikisha kabisa na wengine ni wahamiaji
 
Angalia picha mojawapo hapo, Lissu akiona mtu mweupe anachanganyikiwa! Mwangalie! ingekuwa zamani kidogo ange mkingia mgongo ambebe huyo mzungu!
Hamuoni mzungu kama ni mtu wa kawaida! Slavery mind!

You're talking non-sense you CCM henchman...!!!!
 
HOTUBA YA TUNDU LISSU ARUSHA:
1. Lissu kazungumzia ugumu wa maisha ya mfanyakazi na jinsi atakavyoyaboresha kwa kulipa malimbikizo yote wanayodai na kuwalipa nyongeza zao za mishahara za kisheria(annual increments)

2. Amezungumzia uonevu wanaofanyiwa wafanyabiashara wetu na kwamba ataundoa

3. Amezungumzia kuhusu elimu bora na siyo bora elimu, amezungumzia kuhusu elimu ya ujuzi wa kazi siyo ya kukariri

4. Amezungumzia kuhusu viwanda na kuvutia mitaji ili kutoa ajira kwa vijana wetu

5. Amzezungumzia kuhusu diplomasia yetu iliyoshuka na jinsi atakavyorudisha mahusiano bora ya kimataifa

6. Amezungumzia bima ya afya kwelikweli siyo hii ambayo wazee wetu wakishastaafu wanaambiwa waongeze hela ili waweze kuwekwa kwenye bima ya magonjwa nyemelezi ya wazee

7. Amezungumzia kuhusu kuirejesha Arusha kuwa kitovu cha utalii

8. Amezungumzia kuhusu katiba mpya, ameonyesha ubovu wa katiba ya sasa ambayo imelinyima hata bunge uwezo wa kuanzisha hoja ya namna ya kutumia pesa za nchi isipokuwa tu kama hoja hiyo imeanzishwa na serikali.

9.Amezungumza kuhusu haki za watu, ametetea masheikh walio jela kinyume cha sheria, kwa mfano amesema Arusha peke yake kuna Masheikh 70 wako jela achilia mbali wale masheikh wa uamsho.

10. Amezungumzia kuvunjia wananchi nyumba kikatili etc

11. Kszungumzia mzigo mzito wa makato ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu na amesema atashusha makato hayo kwa mwezi kutoka 15% hadi 3% ya mshahara kwa mwezi

12. Amezungumzia kuhusu adha za vitambulisho vya kimagumashi vya wamachinga amesema ataondoa mzingo wa shilingi 20000 ya kitambulisho cha wamachinga pesa iliyoanzishwa na Bashite na Magufuli

13. Amesema ataanzisha sheria ya haki ya mlipa kodi "Bill of taxpayers rights" ili waweze kulindwa kisheria badala ya utaratibu wa sasa ambao wafanyabiashara wanaonewa sana na TRA na hawana pa kukimbilia, kila wanapokimbilia wameshafungwa minyororo

14. Amezungumzia kuhusu uhuru wa habari, kuwa ataondoa sheria kandamizi zilizotungwa na Magufuli kumlinda yeye badala ya kusaidia taaluma kukua

15. Amesema ataomesha matumizi ya hovyo ya pesa za serikali, siyo rais akiamka asubuhi anajenga uwanja wa ndege kijijini kwake ambapo ndege inatua mara mbili kwa mwaka siku anayoenda kula Christmass na pasaka

16. Lissu anazungumzia kuhusu UHURU, HAKI, MAENDELEO
FB_IMG_1598895733966.jpg
FB_IMG_1598895724477.jpg
FB_IMG_1598895716890.jpg
 
Wewe pia ni kidagaa tu hapo chadema,

Hizo picha nmekuonesha wenye chadema yao ilivyokuwa na walishaondoka baada ya mwamba kuuza chama
Hivi hujaingia huko twitani ukaone jiji la arusha linavyorindima

Wakati mechi yenu ya mpira imedoda labda mungeleta wasanii wa ngono zembe angalao tungemuona Ali Kiba anavyonyonya wema sepetu japo burudani ingepatikana kidogo
 
Wewe hauoni kama hiyo ni lift ndo mana unaona fuso lipo moja tu kuna mwamba kakutana na makamanda wanaenda kwenye mikutano akawachkua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....haya kamanda.
 
Hivi hilo la wasanii mwitu wa arusha lilifanyika viwanja gani??
kilosaaa edgar ndomino,spark dawg stopa ghost ndeziii na wa mwituni wengine alaf ikabuma sasa,wana vimavi atari uyo dc angejua aina ya watu anaojihusisha nao iyo kibunda angeenda toa kwa yatima na wamama wajane tu apate ata thawabu
 
I think weakness ya Magufuli ni Mandege, I really though he is done with mandege this term, and will invest in people next term, the fact that he mentioned he will buy more ndeges in the next term, makes you think other things that have direct impact on his people are not priority to him, upinzani tumieni simple language wananchi waelewe hili

There are many reasons we would be wrong to expect Chadema to win this election, its a wrong expectations, however. First, the electorate is not entirely stable.

Each generation of voters ( 1995-2015 one generation) has been a bit different from the last (1975- 1995 one generation).

It sometimes happens that over a series of elections, parties may be unable or unwilling to adapt their positions to broader socio-demographic or economic forces. Parties need to be aware of when society changes.

If leaders refuse to recognize that public opinion has changed, the party is unlikely to win in the next election. Groups that have felt that the party has served their causes in the past may decide to look elsewhere if they feel their needs are no longer being met.

Either way, the CHADEMA party system have been upended as a result of a party realignment, or shifting of party allegiances within the electorate
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Slaa akionaa hivi anawadharau sanaaaa
Hiyo ni 2010,!
Sasa sijui utalinganisha vipi na hako ka tone alikokusanya Lisu leo. View attachment 1554664View attachment 1554665View attachment 1554666View attachment 1554667View attachment 1554668

Wakati hayo yakitokea kulikuwa na siasa za kishenzi kama sasa? Siasa zilikuwa zinafanywa na rais na genge lake tu. Bunge lilikuwa gizani kama sasa, mahakama zilikuwa kibogoyo kama sasa, wakati huo risasi zilikuwa sehemu ya siasa? Wakati huo kulikuwa na midahalo na mijadala kwenye TV, Sasa hivi umeona mdahalo wowote kwenye TV? Kweli Magufuli kaharibu siasa za nchi hii, badala ya watu kujadili ilani, watu wanajadili nyomi na inaonekana ni sawa tu. Yaani ni bonge ya aibu.
 
Back
Top Bottom