Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

afadhali wewe... kuna watu wanapenda stori kuliko facts.
 
Magu mpiga dili tu anawsema wengine kumbe yeye ndo fisadi
 
Kuhusu tenda, ilitangazwa angalia andiko la barafu humu (search) alipokuwa akilinganisha kati ya huu uwanja na uwanja wa Dar.
 
Maswali kama haya wapeni wabunge wenu wakaulize bungeni. Tunahangaika kuulizana JF, toka 2016 uwanja unajengwa, wabunge wenu hawasemi kitu hali kuwa pesa wanaidhinishwa tu. Wanaidhinisha pasipokujua mchakato na sababu za ujenzi?
Ulimsikiliza vizuri Nyalandu katika sababu zake za kujiondowa ccm? Na leo mbunge wa Zanzibar Turki au Mr White umesoma vyombo vya habari walichomnukuu?

Mnaweza mkawa mnawacheka North Korea kumbe afadhali ya wao.
 
Hakuna tenda ilitangazwa wala Bunge kupitisha chochote na kampuni zinazofanya kazi ni za Mtukufu, Bashite na rafiki zao hilo ndilo jibu.
 
Anajitia kupambana na ufisadi kumbe yeye ni fisadi papa.
Ununuzi wa ndege kwa cash ile 10% yote imepitishiwa kwa Maliyamungu Bashite kisha wanagawana hakuna vita ya Ufisadi Tanzania bali kuna Sinema za kuwahadaa watanzania.
 
Mayanga Contractors ipo toka miaka ya 80's if not 90's ,,,nimehamia mwanza around 98 nimeikuta,,
Inawezekana ila hapo inaonyesha kabisa ni ya mwaka 2016. Labda kama hufahamu CRB wanavyotoa namba zao za usajili. Inawezekana ilikiwepo ikawa dormant ikaenda kufufuliwa mwaka jana kwa kazi ya CIA
 
Tender uchwara ilitangazwa....kwenye gazeti nadhani kuna uzi uko humu wenyekile kipande cha gazeti ......ila hizo pesa hazimo kwenye bajeti alichota tu.....wamepiga chao ch juuu!!!!
zipo kwenye bajeti
 
Hizo ripoff za CAG zinakuja na hazifanyiwi chochote
 
Inawezekana ila hapo inaonyesha kabisa ni ya mwaka 2016. Labda kama hufahamu CRB wanavyotoa namba zao za usajili. Inawezekana ilikiwepo ikawa dormant ikaenda kufufuliwa mwaka jana kwa kazi ya CIA
Haijawahi kuwa dormant,,,itakua imepewa class 1 mwaka Jana or structure ya kampuni na wamiliki ilibadilishwa to the extent wakaona waisajili upya
 
zipo kwenye bajeti
Hakuna cha Bajeti pesa unazolewa kihuni kule Hazina yupo Doto ni mtoto wake wa nje ya ndoa, pesa ya kujenga chato haikuwa kwenye Bajeti ya Bunge wala nini ni ubabe tu ni kama wanavyochukua pesa huko huko na kumpatia Lipumba aue CUF na kuhujumu chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…